Tatizo la kupitisha siku za hedhi,

chriss makoba

Member
Oct 5, 2012
50
10
Naomba msaada madokta kuhusiana na tatizo Hili, Nina mpenz kaingia hedhi tareh 8 mwez wa 2, na nikakutana nae tareh 4 mwez wa 3, akawa kabadili mazingira mengine, lkn haingii kwenye siku zake na ukizingatia mzunguko wake Huwa haubadiliki, je kuna uwezekano wa kupata mimba, na ukizingatia nimekutan nae zimebak siku 4 kuingia kwenye hedhi,
 
Back
Top Bottom