Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,972
- 3,513
Mkuu jaribu kumpeleka na kwenye hospitali nyingine kubwa tofauti na ambayo huwa unampeleka mara kwa mara, lakini pia jitahidi kuwa mtu wa maombi/sala uiombee familia yako pamoja na wewe mwenyewe.Wapedwa wanajukwaa, binti yangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi mitano, alizaliwa akiwa na afya tele kwa maana hakuwa na ugojwa wowote, mama yake alifanikiwa kumnyonyesha miezi sita ya mwanzo bila kumpa chochote, alipofikisha miezi sita alianzishiwa chakula na mama yake hajaacha kumnyonyesha mpaka mda huu.
Mwanzoni mwa mwaka huu mtoto alipatwa na homa kali sana ,nilimpatia dawa za kushusha homa bila mafanikio ikabidi nimpeleke hospital kwa dakitari bingwa wa magojwa ya watoto, kufika kupimwa mtoto joto lilisoma 39.6 digree za centigred ikabidi achomwe diclofenac kwanza ndo aanze kupatiwa matibabu, Dr alimwandikia kupimwa malaria, mkojo na pia alifanyiwa full blood picture, majibu yalipotoka mtoto hakua na malaria, mkojo haukua na maambukizi, hakuonyesha maambukizi kwenye damu ila damu yake ilikua chini 10.4, niliambiwa kwa majibu yale ya vipimo kwa vyovyote japo vipimo havijaonyesha lakini lazima mtoto atakua na infection nilipewa amoxclav na pcm ,pia nilishauriwa swala la lishe ili kupandisha damu ya mtoto.
Baada ya kutumia dawa mtoto alipona ila alidumu katika hali hiyo kwa mwezi mmoja tuu, akapatwa tena na homa nikamrejesha hospital kwa Dr. Yuleyule kufika akamwandikia kupimwa malaria, mkojo na full blood picture tena, majibu kutoka hakua na infection yeyote na damu yake ilionekana kuongezeka kidogo mpaka 10.6 Dr akasema kwa homa mtoto aliyokua nayo lazima atakua na infection akamwandikia dawa ya juu zaidi third generation antibiotic siikumbuki jina, mtoto alpotumia dawa akaonekana kupona.
Leo ni kama mwezi tuu umepita tangu atumie dawa ameanza kuchemka vibaya sana, nashidwa kuelewa nifanye nini na afanyiwe vipimo gani ili ugojwa unaomusumbua malaika wangu ufaamke, napata shida kua naenda hospital na kuishia kupewa antibiotics tuu ambazo huonyesha kumtibu ila mwisho wa siku homa hurejea.
Mtoto anaonekana mwenye afya, amechangamka, hana mafua wala kikohozi.
Msaada kwenu wanajukwaa maana ili jambo linaonekena kua ni changamoto sasa.
Natanguliza shukurani.
Sent from my OPPO A57
Hello kutokana na jinsi unavyosema kuwa umempima vipimo vyote na havionyeshi kuwa anayo maradhi basi atakuwa mama yake ana pepo mchafu ndio anaye muinamia mtoto ndio maana mtoto anaumwa na maradhi hayaponi. Ukishindwa na dawa za hospitali nitafute mimi nipate kumtibia mtoto wako ili aweze kupona maradhi yakeWapedwa wanajukwaa, binti yangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi mitano, alizaliwa akiwa na afya tele kwa maana hakuwa na ugojwa wowote, mama yake alifanikiwa kumnyonyesha miezi sita ya mwanzo bila kumpa chochote, alipofikisha miezi sita alianzishiwa chakula na mama yake hajaacha kumnyonyesha mpaka mda huu.
Mwanzoni mwa mwaka huu mtoto alipatwa na homa kali sana ,nilimpatia dawa za kushusha homa bila mafanikio ikabidi nimpeleke hospital kwa dakitari bingwa wa magojwa ya watoto, kufika kupimwa mtoto joto lilisoma 39.6 digree za centigred ikabidi achomwe diclofenac kwanza ndo aanze kupatiwa matibabu, Dr alimwandikia kupimwa malaria, mkojo na pia alifanyiwa full blood picture, majibu yalipotoka mtoto hakua na malaria, mkojo haukua na maambukizi, hakuonyesha maambukizi kwenye damu ila damu yake ilikua chini 10.4, niliambiwa kwa majibu yale ya vipimo kwa vyovyote japo vipimo havijaonyesha lakini lazima mtoto atakua na infection nilipewa amoxclav na pcm ,pia nilishauriwa swala la lishe ili kupandisha damu ya mtoto.
Baada ya kutumia dawa mtoto alipona ila alidumu katika hali hiyo kwa mwezi mmoja tuu, akapatwa tena na homa nikamrejesha hospital kwa Dr. Yuleyule kufika akamwandikia kupimwa malaria, mkojo na full blood picture tena, majibu kutoka hakua na infection yeyote na damu yake ilionekana kuongezeka kidogo mpaka 10.6 Dr akasema kwa homa mtoto aliyokua nayo lazima atakua na infection akamwandikia dawa ya juu zaidi third generation antibiotic siikumbuki jina, mtoto alpotumia dawa akaonekana kupona.
Leo ni kama mwezi tuu umepita tangu atumie dawa ameanza kuchemka vibaya sana, nashidwa kuelewa nifanye nini na afanyiwe vipimo gani ili ugojwa unaomusumbua malaika wangu ufaamke, napata shida kua naenda hospital na kuishia kupewa antibiotics tuu ambazo huonyesha kumtibu ila mwisho wa siku homa hurejea.
Mtoto anaonekana mwenye afya, amechangamka, hana mafua wala kikohozi.
Msaada kwenu wanajukwaa maana ili jambo linaonekena kua ni changamoto sasa.
Natanguliza shukurani.
Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa heshima yako samahani, huyo pepo anafata mama pekee,kwanini umeamua kusema mama ndo ana pepo na si baba? Je pepo wanapenda wanawake zaidi?Hello kutokana na jinsi unavyosema kuwa umempima vipimo vyote na havionyeshi kuwa anayo maradhi basi atakuwa mama yake ana pepo mchafu ndio anaye muinamia mtoto ndio maana mtoto anaumwa na maradhi hayaponi. Ukishindwa na dawa za hospitali nitafute mimi nipate kumtibia mtoto wako ili aweze kupona maradhi yake
Heshima kwako mkuu, mama yake na mtoto ni mke wangu na huyu ni mtoto wetu wa pili, mtoto wa kwanza hakua na hii shida, vipi pepo litakua limemuingia baada ya kujifungua mtoto wa pili?Hello kutokana na jinsi unavyosema kuwa umempima vipimo vyote na havionyeshi kuwa anayo maradhi basi atakuwa mama yake ana pepo mchafu ndio anaye muinamia mtoto ndio maana mtoto anaumwa na maradhi hayaponi. Ukishindwa na dawa za hospitali nitafute mimi nipate kumtibia mtoto wako ili aweze kupona maradhi yake
Wapedwa wanajukwaa, binti yangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi mitano, alizaliwa akiwa na afya tele kwa maana hakuwa na ugojwa wowote, mama yake alifanikiwa kumnyonyesha miezi sita ya mwanzo bila kumpa chochote, alipofikisha miezi sita alianzishiwa chakula na mama yake hajaacha kumnyonyesha mpaka mda huu.
Mwanzoni mwa mwaka huu mtoto alipatwa na homa kali sana ,nilimpatia dawa za kushusha homa bila mafanikio ikabidi nimpeleke hospital kwa dakitari bingwa wa magojwa ya watoto, kufika kupimwa mtoto joto lilisoma 39.6 digree za centigred ikabidi achomwe diclofenac kwanza ndo aanze kupatiwa matibabu, Dr alimwandikia kupimwa malaria, mkojo na pia alifanyiwa full blood picture, majibu yalipotoka mtoto hakua na malaria, mkojo haukua na maambukizi, hakuonyesha maambukizi kwenye damu ila damu yake ilikua chini 10.4, niliambiwa kwa majibu yale ya vipimo kwa vyovyote japo vipimo havijaonyesha lakini lazima mtoto atakua na infection nilipewa amoxclav na pcm ,pia nilishauriwa swala la lishe ili kupandisha damu ya mtoto.
Baada ya kutumia dawa mtoto alipona ila alidumu katika hali hiyo kwa mwezi mmoja tuu, akapatwa tena na homa nikamrejesha hospital kwa Dr. Yuleyule kufika akamwandikia kupimwa malaria, mkojo na full blood picture tena, majibu kutoka hakua na infection yeyote na damu yake ilionekana kuongezeka kidogo mpaka 10.6 Dr akasema kwa homa mtoto aliyokua nayo lazima atakua na infection akamwandikia dawa ya juu zaidi third generation antibiotic siikumbuki jina, mtoto alpotumia dawa akaonekana kupona.
Leo ni kama mwezi tuu umepita tangu atumie dawa ameanza kuchemka vibaya sana, nashidwa kuelewa nifanye nini na afanyiwe vipimo gani ili ugojwa unaomusumbua malaika wangu ufaamke, napata shida kua naenda hospital na kuishia kupewa antibiotics tuu ambazo huonyesha kumtibu ila mwisho wa siku homa hurejea.
Mtoto anaonekana mwenye afya, amechangamka, hana mafua wala kikohozi.
Msaada kwenu wanajukwaa maana ili jambo linaonekena kua ni changamoto sasa.
Natanguliza shukurani.
Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
Wapedwa wanajukwaa, binti yangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi mitano, alizaliwa akiwa na afya tele kwa maana hakuwa na ugojwa wowote, mama yake alifanikiwa kumnyonyesha miezi sita ya mwanzo bila kumpa chochote, alipofikisha miezi sita alianzishiwa chakula na mama yake hajaacha kumnyonyesha mpaka mda huu.
Mwanzoni mwa mwaka huu mtoto alipatwa na homa kali sana ,nilimpatia dawa za kushusha homa bila mafanikio ikabidi nimpeleke hospital kwa dakitari bingwa wa magojwa ya watoto, kufika kupimwa mtoto joto lilisoma 39.6 digree za centigred ikabidi achomwe diclofenac kwanza ndo aanze kupatiwa matibabu, Dr alimwandikia kupimwa malaria, mkojo na pia alifanyiwa full blood picture, majibu yalipotoka mtoto hakua na malaria, mkojo haukua na maambukizi, hakuonyesha maambukizi kwenye damu ila damu yake ilikua chini 10.4, niliambiwa kwa majibu yale ya vipimo kwa vyovyote japo vipimo havijaonyesha lakini lazima mtoto atakua na infection nilipewa amoxclav na pcm ,pia nilishauriwa swala la lishe ili kupandisha damu ya mtoto.
Baada ya kutumia dawa mtoto alipona ila alidumu katika hali hiyo kwa mwezi mmoja tuu, akapatwa tena na homa nikamrejesha hospital kwa Dr. Yuleyule kufika akamwandikia kupimwa malaria, mkojo na full blood picture tena, majibu kutoka hakua na infection yeyote na damu yake ilionekana kuongezeka kidogo mpaka 10.6 Dr akasema kwa homa mtoto aliyokua nayo lazima atakua na infection akamwandikia dawa ya juu zaidi third generation antibiotic siikumbuki jina, mtoto alpotumia dawa akaonekana kupona.
Leo ni kama mwezi tuu umepita tangu atumie dawa ameanza kuchemka vibaya sana, nashidwa kuelewa nifanye nini na afanyiwe vipimo gani ili ugojwa unaomusumbua malaika wangu ufaamke, napata shida kua naenda hospital na kuishia kupewa antibiotics tuu ambazo huonyesha kumtibu ila mwisho wa siku homa hurejea.
Mtoto anaonekana mwenye afya, amechangamka, hana mafua wala kikohozi.
Msaada kwenu wanajukwaa maana ili jambo linaonekena kua ni changamoto sasa.
Natanguliza shukurani.
Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
shukurani sana mkuu, nilimuona Dr mubobezi wa watoto na dawa aliyonipa mara ya pili niliyokua nimeisahau jina ni Cefixime, aliniambia inafanya vizuri sana ila matokeo ndo imempooza kwa mda mfupi tuu,Badilisha hospital nenda jaribu hospital nyingine.
Kama daktari anasuspect kwamba mtoto anaweza akawa na infection hususani Bacterial infection kutokana na hiyo recurrent fever ningeona asiishie kufanya full blood picture tu na kupima mkojo kila siku, ajaribu kwenda deep zaidi kwenye vipimo kama Blood culture & sensitivity pia na Urine culture & sensitivity.
Kati ya dawa alizokupa Cefixime ilikuwepo? Maana ni moja ya 3rd generation cephalosporins inayofanya vizuri kwa watoto
Shukurani mkuu, kwa hakika nimeona mwanga.Pole kwa kuuguza.
1: Nadhani, kunahitajika huyu mtoto aweze kuwa examined/ physically kwa umakini sana. Inawezekana kukawa na sehemu/site ya maambukizi ambayo kwa kiasi cha dawa anayopewa, inakuwa haijatosheleza/mfano kama ni cavities.
2: Inawezekana ikawa ni virusi pia.
3: Kupima mkojo, malaria na full blood picture siyo kumaliza vipimo vyote, bado kuna mengi yawezafanyika kwenye level ya juu zaidi na kwa mtu atakayekuwa dedicated kumfatilia mtoti kwa karibu zaidi.
4: Fanya jitihada hata kama ni kupata rufaa, uende kwa daktari wa watoto kwa level ya juu zaidi kama uwezo wa kituo husika ni vipimo hivyo vitatu tu. Jaribu kwa eneo lako kuulizia pia wale ambao wanafanya vizuri zaidi. Kuna vipimo zaidi vyaweza kufanyika kulingana na daktari atakavyoona inafaa.
Shukurani mkuu, kwa hakika nimeona mwanga.
Hospital tunayompeleka ni kubwaa iliyo na vifaa vya kisasa na wabobezi , Dr. anayemuona ni mubobezi wa watoto, pengine bado hajaona sensitivity yake maana mtoto anaonekana very health na hajanyong'onyea kwa namna yeyote.
ila umenipa mwanga, vipimo zaidi vinaitajika
Pata maoni ya daktari husika juu ya kinachomtokea mtoto wako. Unaweza kuwa na friendly discussion pamoja:
1: Je anaona ni kawaida?
2: Shida iko wapi?
3: Anashauri nini zaidi ya hapo kinaweza kufanyika kwa mwanao?
4: Kesi husika inaweza kujadiliwa na jopo la madaktari wa aina yake na wengine ili kuona mnasonga vipi mbele?
Utaweza kufanya maamzi zaidi kulingana na huduma na ushirikiano utakaoupata na maendeleo ya mtoto.
Wapedwa wanajukwaa, binti yangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi mitano, alizaliwa akiwa na afya tele kwa maana hakuwa na ugojwa wowote, mama yake alifanikiwa kumnyonyesha miezi sita ya mwanzo bila kumpa chochote, alipofikisha miezi sita alianzishiwa chakula na mama yake hajaacha kumnyonyesha mpaka mda huu.
Mwanzoni mwa mwaka huu mtoto alipatwa na homa kali sana ,nilimpatia dawa za kushusha homa bila mafanikio ikabidi nimpeleke hospital kwa dakitari bingwa wa magojwa ya watoto, kufika kupimwa mtoto joto lilisoma 39.6 digree za centigred ikabidi achomwe diclofenac kwanza ndo aanze kupatiwa matibabu, Dr alimwandikia kupimwa malaria, mkojo na pia alifanyiwa full blood picture, majibu yalipotoka mtoto hakua na malaria, mkojo haukua na maambukizi, hakuonyesha maambukizi kwenye damu ila damu yake ilikua chini 10.4, niliambiwa kwa majibu yale ya vipimo kwa vyovyote japo vipimo havijaonyesha lakini lazima mtoto atakua na infection nilipewa amoxclav na pcm ,pia nilishauriwa swala la lishe ili kupandisha damu ya mtoto.
Baada ya kutumia dawa mtoto alipona ila alidumu katika hali hiyo kwa mwezi mmoja tuu, akapatwa tena na homa nikamrejesha hospital kwa Dr. Yuleyule kufika akamwandikia kupimwa malaria, mkojo na full blood picture tena, majibu kutoka hakua na infection yeyote na damu yake ilionekana kuongezeka kidogo mpaka 10.6 Dr akasema kwa homa mtoto aliyokua nayo lazima atakua na infection akamwandikia dawa ya juu zaidi third generation antibiotic siikumbuki jina, mtoto alpotumia dawa akaonekana kupona.
Leo ni kama mwezi tuu umepita tangu atumie dawa ameanza kuchemka vibaya sana, nashidwa kuelewa nifanye nini na afanyiwe vipimo gani ili ugojwa unaomusumbua malaika wangu ufaamke, napata shida kua naenda hospital na kuishia kupewa antibiotics tuu ambazo huonyesha kumtibu ila mwisho wa siku homa hurejea.
Mtoto anaonekana mwenye afya, amechangamka, hana mafua wala kikohozi.
Msaada kwenu wanajukwaa maana ili jambo linaonekena kua ni changamoto sasa.
Natanguliza shukurani.
Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
MwanzaJaribu kuwaona mabingwa wa watoto hata watatu kwa hospital tofauti kwenye suala la vipimo.
Uko mkoa gani mkuu?
Hapana mkuu, pia hua inasababisha homa?Umejaribu kumpima sickle cell??
Wapedwa wanajukwaa, binti yangu ana umri wa mwaka mmoja na miezi mitano, alizaliwa akiwa na afya tele kwa maana hakuwa na ugojwa wowote, mama yake alifanikiwa kumnyonyesha miezi sita ya mwanzo bila kumpa chochote, alipofikisha miezi sita alianzishiwa chakula na mama yake hajaacha kumnyonyesha mpaka mda huu.
Mwanzoni mwa mwaka huu mtoto alipatwa na homa kali sana ,nilimpatia dawa za kushusha homa bila mafanikio ikabidi nimpeleke hospital kwa dakitari bingwa wa magojwa ya watoto, kufika kupimwa mtoto joto lilisoma 39.6 digree za centigred ikabidi achomwe diclofenac kwanza ndo aanze kupatiwa matibabu, Dr alimwandikia kupimwa malaria, mkojo na pia alifanyiwa full blood picture, majibu yalipotoka mtoto hakua na malaria, mkojo haukua na maambukizi, hakuonyesha maambukizi kwenye damu ila damu yake ilikua chini 10.4, niliambiwa kwa majibu yale ya vipimo kwa vyovyote japo vipimo havijaonyesha lakini lazima mtoto atakua na infection nilipewa amoxclav na pcm ,pia nilishauriwa swala la lishe ili kupandisha damu ya mtoto.
Baada ya kutumia dawa mtoto alipona ila alidumu katika hali hiyo kwa mwezi mmoja tuu, akapatwa tena na homa nikamrejesha hospital kwa Dr. Yuleyule kufika akamwandikia kupimwa malaria, mkojo na full blood picture tena, majibu kutoka hakua na infection yeyote na damu yake ilionekana kuongezeka kidogo mpaka 10.6 Dr akasema kwa homa mtoto aliyokua nayo lazima atakua na infection akamwandikia dawa ya juu zaidi third generation antibiotic siikumbuki jina, mtoto alpotumia dawa akaonekana kupona.
Leo ni kama mwezi tuu umepita tangu atumie dawa ameanza kuchemka vibaya sana, nashidwa kuelewa nifanye nini na afanyiwe vipimo gani ili ugojwa unaomusumbua malaika wangu ufaamke, napata shida kua naenda hospital na kuishia kupewa antibiotics tuu ambazo huonyesha kumtibu ila mwisho wa siku homa hurejea.
Mtoto anaonekana mwenye afya, amechangamka, hana mafua wala kikohozi.
Msaada kwenu wanajukwaa maana ili jambo linaonekena kua ni changamoto sasa.
Natanguliza shukurani.
Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app