Sio 15, ni Musoma mjini, Nyamagana, Arusha Mjini, moshi Mjini, Iringa mjini, Rombo bado utata, sijui Ubungo! So bado Chadema haijafikia hata yale ya CCM waliyopita bila kupingwa. So bado sana. Originally posted by Avanti
Inavyoonekana huna data za kutosha,it better to keep silent!!!