mimi pia huwa sitoki na gari kabisa labda kwa miezi miwili mara moja tu kwa dharura lakini nikijaribu kuchech deni nakuta nadaiwa deni sehemu sijaenda kabisa na tarehe hizo mimi sijatoka na gari ipo moja ina namba ya gari nyinge lakini mimi ndio nadaiwa ukiingiza kumbukumbu inakuja namba ya gari sio yangu lakini deni gari yangu ndio inadaiwa