Diwani Unga Ltd
Senior Member
- Oct 12, 2013
- 149
- 70
safi sana chadema kwa kuelimisha wananchi.
Akili za kutazamia hizo ungeona wenzako kigoma wanavyohamasishana kuchangia maendeleo eti nyie mnakwamisha kileo mwenye gaidi kazi yake kumwagia watu sumu atajua maana ya maendeleo.
Akili za kutazamia hizo ungeona wenzako kigoma wanavyohamasishana kuchangia maendeleo eti nyie mnakwamisha kileo mwenye gaidi kazi yake kumwagia watu sumu atajua maana ya maendeleo.
Akili za kutazamia hizo ungeona wenzako kigoma wanavyohamasishana kuchangia maendeleo eti nyie mnakwamisha kileo mwenye gaidi kazi yake kumwagia watu sumu atajua maana ya maendeleo.
Akili za kutazamia hizo ungeona wenzako kigoma wanavyohamasishana kuchangia maendeleo eti nyie mnakwamisha kileo mwenye gaidi kazi yake kumwagia watu sumu atajua maana ya maendeleo.
Akili za kutazamia hizo ungeona wenzako kigoma wanavyohamasishana kuchangia maendeleo eti nyie mnakwamisha kileo mwenye gaidi kazi yake kumwagia watu sumu atajua maana ya maendeleo.
Chadema TARIME hampo kabisa acha kudanganya watu wewe.
baada ya siku 4 tangu chadema kupitia kwa mwenyekiti mstaafu wa bavicha taifa ndg john heche akiongozana na katibu wa kanda maalum ya kinondoni henry kileo kufanya mkutano mkubwa wa hadhara siku ya jumamosi tarehe 18 oct 2014 katika mji mdogo wa sirari ulioko mpakani mwa kenya kuwaelimisha wananchi kuhusu namna ya kushiriki katika ujenzi wa maabara wakitahadharisha kiwango kikubwa cha michango kinachotozwa na serikali ya kata kati ya tsh 100000-67000 kwa kaya kuwa sio sahihi kwani mgodi wa north mara ulitoa tsh 1.9 b kwa ajili ya kusimamia mapungufu ya maabara hizo.
Kwa mapokeo hayo yaliyoichanganya ccm yamesababisha diwani wa kata ya sirari amos sagara kutaka kujibu mapigo kwa kuilinda serikali isinangwe naye akaitisha mkutano akijaribu kupinga hoja hizo
yaliyotokea ni kuambulia zomeazomea ya hali ya juu.
fungua video zipo mbili
shuhudia zomeazomea ya mwkt wa hal ya wilaya tarime
huyu diwani wa kata hiyo na ulofa wake alijua anaweza kuwajibu CHADEMA? tena viongozi na vijana machachari kama HECHE na KILEO
yaani diwani uwajibu
WABUNGE wawili
mwanga
na Tarime?
aisee akajipange upya
zomea zomea!
tuletee video mura