kwambaa tukikwambia haifai..? utafuta uhamisho..? we jiaandae adavance hakuna shule mbaya ni wewe na juhudi zako jua tu ya kwamba shule ni kongwe kiasi chake na imeshatoa watu kibao siyo shule mpya ina Advance ni zaidi ya miaka 15 sasa.Ni mchanganyiko na pia ina o level . Binafsi nimesoma o level 2010