Tanzania's share of EAC trade increasing steadily

msemakweli

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
1,627
Reaction score
880

http://goo.gl/pEBmzY


Cc kadoda11 MK254 hbuyosh flyingcrane Kambalanick joka kuu
NB: We are exporting MANUFACTURED goods, not raw unprocessed ones like most of you Kenyans here like to claim!
 
Kutoka deficit ya 158.8 million usd hadi surplus ya 723 million usd ndani ya mwaka mmoja ni mafanikio makubwa sana
Nani anaweza kutujuza nini hasa siri ya mafanikio haya ya muda mfupi?
 
Good news...
Kuna mtu anafanya BoT alishanambia kuwa these days mapato tu hasa kwenye kukusanya kodi yako juu...
Tatizo labda liko kwenye matumizi...
 
Ndugu zangu watanzania hongereni tena sana, hizi habari nzuri zimekuwa hadimu kweli mpaka roho inaniuma kila nikipita kule jukwaa la siasa ni vilio tu mpaka nawaonea huruma ndugu zangu, ningekuwa sijarudisha gamba langu ningerudi kuwaokoa, msijali mazuri yako mbeleni, Mungu aliyetupa kipindi kile ataongeza tu kuwakumbuka...
 
No I did not, consequently, the report did not mention any product but rather said growing manufacturing sector.
Information from the Ministry of East African Cooperation shows the main exports to the East African Community region include machines, fertilizers, cement, electrical equipments, ships and boats equipments, cereals, oil products and their distillations, paper and textiles.
 
The quote says exports "TO" East Africa and not from East Africa. Please, I need to know the products manufactured in Tanzania.
 
The quote says exports "TO" East Africa and not from East Africa. Please, I need to know the products manufactured in Tanzania.
...itakuwaje from East Africa afu iitwe export...unajua maana ya export na import????

Soma vizuri habari yote hapo nimekupa hints tu...otherwise unataka kuelewa out of context...japo sioni kisichoeleweka hata kwenye hii quote...
 

...itakuwaje from East Africa afu iitwe export...unajua maana ya export na import????

Soma vizuri habari yote hapo nimekupa hints tu...otherwise unataka kuelewa out of context...japo sioni kisichoeleweka hata kwenye hii quote...
Read the contents of the quote, inter-alia, in Tanzania you don't make Ships, boats, machines, etc,

EXPORT TO the East African .....,
 

http://goo.gl/pEBmzY


Cc kadoda11 MK254 hbuyosh flyingcrane Kambalanick joka kuu
NB: We are exporting MANUFACTURED goods, not raw unprocessed ones like most of you Kenyans here like to claim!
Tanzania main exports partners are India, Japan, China, United Arab Emirates, Netherlands and Germany. Tanzania major exports are agricultural commodities with tobacco, coffee, cotton, cashew nuts, tea and cloves being the most important.

This statement makes a lot of sense.
 
Read the contents of the quote, inter-alia, in Tanzania you don't make Ships, boats, machines, etc,

EXPORT TO the East African .....,

The report said ships equipment not ships...mbona unasoma robo robo...wewe unajua viwanda vyote vya Tanzania?
 
This statement makes a lot of sense.
Ushaambiwa Tanzania's manuactured exports to the EAC include cement, fertilizer, electrical equipment, oil products, paper and textiles et cetera
What more do you want?
 
Ushaambiwa Tanzania's manuactured exports to the EAC include cement, fertilizer, electrical equipment, oil products, paper and textiles et cetera
What more do you want?
Tanzania main exports partners are India, Japan, China, United Arab Emirates, Netherlands and Germany.Tanzania major exports are agricultural commodities with tobacco, coffee, cotton, cashew nuts, tea and cloves being the most important.

The annexed statement does not supports what you construed.
 
Dah mpaka nimepata headache .... annoying!

Let me reduce the headache to you.

Just give me the names of the Ships, Boats and Electrical Equipment that are made in Tanzania. "Words in Red"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ