Uhuru Kenyatta Lazima aende marekani kupeleka ripoti kwa boss wake,
Ila hawa wakenya ujue their reasoning is inconsequential,
Sasa wanajisahau kuwa wao ni Vibaraka Wa marekani na washirika wao akiwemo UK, wanataka kushirikiana na China na hata Russia, si ni Vikaragosi hawa eti???
Ndio maana mchina ile reli amejenga Tz miaka ya 1970's amejenga Kenya 2018,
Kamwe mchina hawezi mchekea mkenya, China na Kenya Wapi na Wapi?