Tanzania wanadhani wakikandamiza majirani kibiashara eti watainuka! Nchi ovyo EAC na SADC!

Unangoja kwanini? Hahaa! Najua sasa hivi umemuongezea Profesa Google vidonda vingine vya tumbo. Foreign policy ya kueleweka huwa haibadiliki kila msimu, na wataalamu wa masuala hayo huwa wapo huru kufanya kazi yao bila kuingiliwa. Sasa Tz mtaelewa hayo kivipi wakati mnapelekwa huku na kule kulingana na yeyote yule aliye madarakani? Jana JK leo JPM. Hata kwenye bunge la E.A.C mmejaza vilaza na wateule wa mfalme. Wakati wawakilishi wa Kenya wametoka kwenye vyama vyote hadi na upinzani na walipita bunge kwanza wakafanyiwa 'vetting'. Endeleeni kuruka ruka.
This is the website of Kenya Ministry of Foreign
http://www.mfa.go.ke/#

1537515988418.png



1537516319898.png
 
Uliza rafiki yako google usome kuhusu foreign policy ya Kenya sio copy and paste zenu za kawaida za usanii. Shida yenu ni kwamba maamuzi yote yanaachiwa mtu mmoja, Jiwe. Huku Kenya hiyo kazi ni ya Monica Juma na PS wake.
 
Uliza google kama ulivyofanya na ya Tz, mienendo yenu haiendani na hiyo copy and paste ulochapilia hapo juu. Shida yenu ni kwamba maamuzi yote yanaachiwa mtu mmoja, Jiwe. Huku Kenya hiyo kazi ni ya Monica Juma.
Who is Monica Juma by the way.
Huoni kuwa nyine mmemwachia kazi mtu mmoja kila nchi anazunguka zunguka kama pia. USA kaenda yeye, China kaenda yeye, Mozambique kaenda yeye, SA kaenda yeye. Kwani hakuna watu wengine? Kila sehemu anazunguka uhuru tu. Hajui hata anachoenda kufanya kule.
 
Uganda petitions Tanzania over dipping trade relations
thecitizen.co.tz Sep 20, 2018 8:16 AM
In Summary
Tanzania has in the last two years been denying entry for Ugandan goods.
The country recently slapped Ugandan sugar with a 25 per cent Excise Duty contrary to requirements of the EAC Market Protocol.

President Museveni (L) and his Tanzanian counterpart John Pombe Magufuli. The two leaders have previously met to discuss the dipping trade relations. FILE PHOTO
Kampala. Uganda has petitioned Tanzania on a number of issues that have negatively impacted trade between the two countries.
Speaking on the sidelines of Uganda Export Promotions Board, Mr Richard Okot, the assistant commissioner external trade in the Ministry of Trade, told Daily Monitor that Uganda has requested for a bilateral meeting with Tanzania to address trade concerns.
“Issues with Tanzania are not new. We have scheduled a meeting to sort out all those issues,” he said.

The meeting follows recent concerns over denying entry to some of Ugandan products into Tanzania and slapping some with prohibitive taxes.
Tanzania recently announced it would slap Ugandan sugar with a 25 per cent contrary to the East Africa Common Market Protocol.
Other products that have been denied entry into the country include sweets and other sweeteners that Tanzania claims are re-exported from other countries.

Ms Hadija Nakakande, the Ministry of Trade public relations manager, early this week confirmed they had petitioned Tanzanian to address issues related to Ugandan exports into Tanzania.
The meeting, she said, will address long standing concerns raised by exporters beyond sugar.
“The Tanzania-Uganda issues are bigger than just sugar. This is a bilateral meeting to harmonise the relationship between the two countries. We have issues we want them to address and they also have issues they want us to address,” she said.

Key among the issues, she said, will include resolving the issue of road user fees, which require Ugandan exporters to pay for using Tanzania roads, retesting of products that have already been certified by Uganda National Bureau of Standards, free movement of people and charging Ugandan traders’ business visas.
Ugandan clearing and forwarding agents have also been raising concerns over the fact that they have been denied an opportunity to open outlets in Tanzanian.

The Trade Ministry will also seek to address the recurring issue that has seen countries raise a red-flag on re-exporting goods imported from other countries.
In May, Tanzania denied entry of about 600 tonnes of sugar that had been exported by Kakira Sugar Works on claims it had been imported and repackaged before it was exported into the country.

In an interview, Mr Jim Mwine Kabeho, the chairman of Uganda Sugar Manufacturers’ Association, noted that the Tanzanian market was difficult to access because some officials had remained adamant and were operating in total disregard of the EAC agenda.
Mr Okot said sugar, cooking oil and cosmetics have been the main goods that have been denied entry.
However, Ms Nakakande said these goods have been wrong denied entry because the EAC Act requires an investigation before a decision is made.

Tanzania is yet to respond to the Ministry of Trade letter.
“When they accept, we shall discuss other modalities and if it culminates into an agreement, well and good,” Ms Hadija Nakakande says.
According to the former director economic affairs at Ministry of East African Affairs, Mr Muhammad Umoki, the process to integrate has been made different by overriding interests of partner states.
Point, umasikini ulikuwepo tanzania siku nyingi, off late kuna mtu kaleta umaskini wa mawazo, bila yeye nchi haiendi, haimpi, wala haithaminiki
 
Hii ndio point yangu, tupo huru kufanya hayo yote. Hatuingizi hisia nyingi na usanii. Biashara ni biashara sio urafiki. Unategemea tufanye partnership na China kwenye vita dhidi ya magaidi? Hivi unajua kwamba China na U.S wana uhusiano mkubwa sana kibiashara?

Wana uhusiano wa kibiashara, lkn si urafiki. wanafanya biashara katika mazingira ya mashaka na kutoaminiana. kwa sasa kuna vita kali kweli ya kibiashara kati yao. Muwe makini msije mkaambukizwa ugomvi.
 
Who is Monica Juma by the way.
Huoni kuwa nyine mmemwachia kazi mtu mmoja kila nchi anazunguka zunguka kama pia. USA kaenda yeye, China kaenda yeye, Mozambique kaenda yeye, SA kaenda yeye. Kwani hakuna watu wengine? Kila sehemu anazunguka uhuru tu. Hajui hata anachoenda kufanya kule.
Monica Juma ndio waziri wa foreign affairs. Ulitegemea U.K amtume nani alipoalikwa na Trump? Rais ana majukumu yake, na moja yazo sio kukomalia ikulu akila mahamri ya mkewe.
 
Wana uhusiano wa kibiashara, lkn si urafiki. wanafanya biashara katika mazingira ya mashaka na kutoaminiana. kwa sasa kuna vita kali kweli ya kibiashara kati yao. Muwe makini msije mkaambukizwa ugomvi.
Kwahivyo nyinyi ndio mnataka muwe marafiki wa China na maadui wa U.S kwa ugomvi ambao hauwahusu? Mnafanya biashara na China zaidi ya biashara wanazofanya na U.S? Alafu mbona huwa mnakubali misaada mikubwa kutoka U.S? Mmechanganyikiwa zaidi ya ngiri jombaa.
 
Monica Juma ndio waziri wa foreign affairs. Ulitegemea U.K amtume nani alipoalikwa na Trump? Rais ana majukumu yake, na moja yazo sio kukomalia ikulu akila mahamri ya mkewe.
Leta foreign policy ya kwenu hapa tuchambue siyo kuanza kuuongea mambo ya Monica hapa.
Tubajadili Foreign police. Nimekuwekea yenu ya Kenya na ya Kwetu ya Tanzania.
Twende kazi kujadili.

Policy Objectives - Tanzania

  • To project, promote and protect URT’s political, economic, social and cultural interests through active and sustainable economic diplomacy
  • To ensure that URT’s relation with other nations and international entities are also driven inline with economic interests,
  • To build a self sustaining economy, preservation of national peace and security as well as supporting regional and international endeavor for the creation of better and peaceful world.
  • To accelerate the political and social economic integration for the region and
  • To create the necessary conditions which shall enable URT to participate effectively in the regional and international negotiations
Policy Objectives - Kenya
a) Protect Kenya’s sovereignty and territorial integrity;
b) Promote sub-regional and regional integration and co-operation;
c) Enhance regional and global peace and security;
d) Advance the economic prosperity of Kenya and her people;
e) Project Kenya’s image and prestige;
f) Promote international cooperation and multilateralism;
g) Promote and protect the interests of Kenyans abroad; and
h) Enhance partnership with the Kenya Diaspora and descendants.
 
Policy Strategies - Tanzania

  • Buildings Facilitative Internal Environment
  • Forging International Partnership,
  • Redefining Bilateral Diplomacy,
  • Strengthening Multilateral Diplomacy,
  • Promoting Good Neighborliness,
  • Enhancing Regional Peace and Security,
  • Strengthening Regional Economic Integration (EAC, SADC,IOR-ARC),
  • Upholding African Union (AU),
  • Reaffirming Non-Alignment,
  • Promoting South-South Cooperation,
  • Enhancing the Commonwealth Organization,
  • Promoting the United Nations Organization,
  • Readdressing Financial Issues and external Debt,
  • Cooperating with Multinational Corporations and
  • Supporting Effective NGOs.
Policy Strategies - Kenya
====Null=====
 
Kwahivyo nyinyi ndio mnataka muwe marafiki wa China na maadui wa U.S kwa ugomvi ambao hauwahusu? Mnafanya biashara na China zaidi ya biashara wanazofanya na U.S? Alafu mbona huwa mnakubali misaada mikubwa kutoka U.S? Mmechanganyikiwa zaidi ya ngiri jombaa.

wewe ndiye unayesema hayo.
Tangu zamani sisi huwa hatupangiwi rafiki, na ndiyo maana historically we are among the founding nations of Non - Alignment Movement (NAM). we are not welcoming influence from outside. now becoz of this, those big nations know how to collaborate with us. they understand the demarcation of interaction with us. And normally they don't cross that line.
 
eliakeem are you serious? Nchi masikini kama Tz sio ya kujipiga kifua. Alafu naona mwenzako Annael nimemtajia za foreign policy na baada ya kuingia google fasta sasa amekuwa mtaalamu na anataka tujibizane kuhusu hayo. Alafu kuna sehemu ameiita foreign police! Wabongo buana!
 
eliakeem are you serious? Nchi masikini kama Tz sio ya kujipiga kifua. Alafu naona mwenzako Annael nimemtajia za foreign policy na baada ya kuingia google fasta sasa amekuwa mtaalamu na anataka tujibizane kuhusu hayo. Alafu kuna sehemu ameiita foreign police! Wabongo buana!
Kijana unaongea sana. Hebu fuatilia comment zangu kijana. Hilo suala la kutamka foreign policy hiliwezi kukupatia credit yoyote. Sisi tunajadili kisomi nyie wakenya mnajadili kwa mihemko.

Halafu kijana nakushangaa sana eti unapojipiga kifua na kusema Kenya ni nchi tajiri wakati huu uzi unawaonesha namna gani mlivyo hohehae. Eti Tanzania inawakandamiza real!! Huo utajiri wenu uko wapi?

Tanzania is a big Nation kijana. Nakushauri jipange vizuri uje na arguments za kisomi. Maana sisi tunaakili nyingi mno na tunaweza kuwachezesha kwata mpaka mkakimbia. Jipange kijana.
Na unapojadiliana na mimi weka arguments zako bayana.
Nakuona unaanza kushambulia watu badala ya kujadili. Huo unaitwa ni utoto na wenda wazimu. Critical thinkers like me discus issues. Lakini hohehahe wa kibera kama wewe mnapenda mipasho, yaani very simple arguments ambazo hata mtoto mchanga anaweza kutoa.
 
Sawa mzee. Ila ukivaa miwani yako na usome kichwa cha mada tena utaona tunaongea kuhusu Uganda. Niliona kwenye uzi mwingine ukiongea kuhusu Tz mlivobobea kwenye taaluma ya 'kidney transportation'.
 
Sawa mzee. Ila ukivaa miwani yako na usome kichwa cha mada tena utaona tunaongea kuhusu Uganda. Niliona kwenye uzi mwingine ukiongea kuhusu Tz mlivobobea kwenye taaluma ya 'kidney transportation'.
Kama unaongelea Uganda kwanini usiiweke kwenye Uganda forum?
 
Kama unaongelea Uganda kwanini usiiweke kwenye Uganda forum?
Sio mimi muulize mleta mada. Usisahau pia kuwauliza swali hilo wote wanaoleta mada za Tz ambazo hazihusu Kenya kwenye jukwaa hili, wewe ukiwa mmoja wao. Nadhani jukwaa la Kenya News and Politics lina mnato wa ajabu, ndio maana miaka inasonga na bado upo upo tu, unakesha humu 24/7.
 
Sio mimi muulize mleta mada. Usisahau pia kuwauliza swali hilo wote wanaoleta mada za Tz ambazo hazihusu Kenya kwenye jukwaa hili, wewe ukiwa mmoja wao. Nadhani jukwaa la Kenya News and Politics lina mnato wa ajabu, ndio maana miaka inasonga na bado upo upo tu, unakesha humu 24/7.
Duh!!! yamekuwa haya tena.
 
Mnataka kuilaumu Kenya kwenye huu mgogoro wenu na Uganda? Hata yale ya magari ya kusafirisha watalii mlianza nyinyi mlivopiga marufuku magari ya Kenya kuingia na watalii kwenye mbuga za wanyama Tz. Kenya kawaida ni kujibu tu. C.o.W ilikuwa ya nchi ngapi za E.A? Tanzania mlitengwa kwasababu huwa hamna msimamo wa kueleweka kawaida yenu ni kuruka ruka tu. Foreign policy ya Kenya haijabadilika tangu 2010. Tz kuna kitu kama foreign policy?

Tanzania hatuwezi kuingiza kenya tukiwa na mgigoro na nchi yoyote duniani. Ila Kenya ndio vinara wa vita ya kibiashara, sijuwi hizi mbinu Trump ali-copy kutoka Kenya au la.

Mgoogoro wa gari ya utali uliamzishwa na Uhuru Kenyatta baada ya kutaka kubadilisha makubaliano yaliyofanywa na maraisi walio pita, mkataba unasema wazi kabisa hakuna gari la utali la nchi moja litaigia kwenye mbuga za nchi nyingine. Swali tumewaukiza mara kwa mara hamjibu, uwanja wa ndege ni kivutio cha utali? Hata hiyo CoW mlikuwa mnaenda kinyume na makubalino ya EAC ambayo yanasema kama nchi zikifnya maamuzi yanayohusu jumuiya nzima, ni lazima nchi zote ziwakilishwe. Tatizo mnafikiri biahsara za nchi kwa nchi inafanywa kwa mabavu, mmemsukua South Africa lakini mwisho wa siku ni Kenya ndio imebaki inaumua. Mmesukuma EU iwape free trade deal, mpaka leo hii your hanging by a thread.
 
Who is Monica Juma by the way.
Huoni kuwa nyine mmemwachia kazi mtu mmoja kila nchi anazunguka zunguka kama pia. USA kaenda yeye, China kaenda yeye, Mozambique kaenda yeye, SA kaenda yeye. Kwani hakuna watu wengine? Kila sehemu anazunguka uhuru tu. Hajui hata anachoenda kufanya kule.
Uhuru kemyatta abdo ana siasa za kizamani, kila kitu cha nje rais ndio anawakilisha. Nchi nyingi hasa zilizoendelea walishanga sana kusikia kiongizi wa Africa anasema balozi zetu zinatosha kutuwakilisha kwenye shuguli na nje.
 
Monica Juma ndio waziri wa foreign affairs. Ulitegemea U.K amtume nani alipoalikwa na Trump? Rais ana majukumu yake, na moja yazo sio kukomalia ikulu akila mahamri ya mkewe.
Toka lini ulimuona jenerali anaenda mstari wa mbele vitani. Hakuna kiongozi anaweza kuacha Nerve Center na kweda kwenye tukio. Kenyatta amekiwa anacha kituo anaenda nje huku nyuma kina Ruto wanamwaga cash mitaani.
 
Back
Top Bottom