Tbc, tbc,, tbc, tumewatafuta saaana hamkuonyesha mpira kwa sisi wa mikoani, mmeonesha mwishoni mwa kipindi cha kwanza na HT mkaanza uchambuzi ilipoanza kipindi cha pili mkahamia DIA kwa kuwasili kwa rais wa China, ama kweli mnatakiwa mjitadhimini zaid, at least muwe na channel zaidi ya 5 kwa jinsi watazamaji wenu walivyo na hobi zao. eg Music, sports, news, dramas, etc etc etc kweli leo mmetuangusha Watanzania wenzenu. Tulikuwa tunaisubiri mechi hii kuishuhudia kwa macho lakini wapi??????? sisi wa mikoani, kama msingeweza basi mngewaachia wengine watuoneshe mwanzo mwisho kuliko kutuchanganyia habari!! Ama kweli Tanzania kuna mengi.