Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,720
- 107,165
- Thread starter
-
- #81
Itakuwa vizuri ukileta evidence budget dependence ni 60%! Ninavyojua ni 8% na hivi ndivyo Wastaarabu hu-argue! Leta yako..Na hapo Mkuu bado hujatoa recurrent expenditures za kila mwaka kwenye hiyo 40% inayokuwa collected kila mwaka.
Jamaa unaongea point mpaka basi yani.. Bravoo[emoji122][emoji122] Hamia Tz..It seems your Biggest Problem is Low Salary and No Increament. Do this,
1) Quit Gvt work, Go into business, High risk high returns
2) Stop living a life that you cannot afford.
Wewe ni mtanzania? Mbona kama unataka serikali ishindwe jutujengea Miundombinu ya Kisasa?Labda msilipe mishahara na sekta zingine zote msizipe pesa, hapo ndio mtaweza kujenga
It seems your Biggest Problem is Low Salary and No Increament. Do this,
1) Quit Gvt work, Go into business, High risk high returns
2) Stop living a life that you cannot afford.
Tanzania to fund its own projects
SATURDAY MARCH 24 2018
Tanzania's President John Magufuli. He said the country is ready to finance its major infrastructure projects. PHOTO | NMG
In Summary
- Tanzania has already released part of the funds for the projects -- railway, aircraft modernisation and energy projects.
- Tanzania’s recent budget statement paints a picture of a government struggling to meet its revenue targets so it is unclear how the projects will be funded.
By ALLAN OLINGO
More by this Author
Tanzania wants to fund its multibillion-dollar railway, aircraft modernisation and energy projects with its own resources, President John Magufuli has said.
“We already have the funds for the construction of the standard gauge railway until its completion from Dar es Salaam to Isaka. We also have the resources internally to fund the construction of the Stiegler Gorge hydroelectricity project,” President Magufuli said at the opening of a tobacco processing cigarette factory on Monday.
Last week, it emerged that Tanzania had already paid more than $500 million to Turkish firm Yapi Merkezi and Portuguese firm Mota-Engil for the construction of the second phase of the projects. The first phase was awarded in February last year, to build the $1.2 billion 205-km railway that will run from Dar es Salaam to Morogoro.
Last week, the contractors were given the go-ahead to build the 422-km second phase between Morogoro and Dodoma at a cost of $1.9 billion.
Tanzania has already released part of the funds for the projects.
The agreement between Kigali and Dar on the design, tendering and financing will see the two countries work jointly on financing.
From the previous design, the 1,320km SGR project was expected to cost the two countries $2.5 billion. Tanzania was expected to pay $1.3 billion and Rwanda $1.2 billion. However, opting for an electric rail could increase the costs.
In the recent past, the two countries have preferred a different mix of models to fund their infrastructure projects. In the first two phases of its SGR, Tanzania has opted for its own domestic’s sources to fund the $1.2 billion contract.
“We will consider a financing that’s good for our people,” Makame Mbarawa, the Tanzanian Minister for Works, Transports and Communications said.
Tanzania is also planning to build the Stiegler’s Gorge hydroelectric project along Rufiji River. Once complete, the project is expected to generate 2,100MW of electricity, effectively doubling Tanzania’s power generation capacity, while also diversifying its energy mix and ending chronic electricity shortages.
The country’s current available power generation capacity is 1,500MW, against a demand of 1,352MW.
Tanzania’s recent budget statement paints a picture of a government struggling to meet its revenue targets so it is unclear how the projects will be funded.
The country plans to spend $14.3 billion in the 2018/19 financial year, with the bulk of this covering infrastructural projects.
We jamaa ni nyumbu sijawahi ona aisee.. We unajua deni letu ni asilimia ngapi katika uchumi wote?? Yani unaongea Pumba za mwisho Duniani..
Umeongea utumbo tuu.. Nimekuuliza Deni letu ni asilimia ngapi ya uchumi wetu wote??? Au kama kiswahili kinakupa tabu basi what's our Country's debt to GDP ratio?? Na ni kiwango gani ambacho nchi ikifikia kwa madeni IMF wanakuweka kwenye kundi la hatari linaloweza kusababishwa kushushwa uwezo wako wa kukopa?? Kama huwezi kujibu hili swali hapo ulipo paza Sauti useme wewe ni kiongozi wa nyumbu..Acha upumbavu wewe taahira mkubwa. Hivi unajua katika kila shilingi inayokusanywa na TRA ni kiasi gani kinaenda kulipia riba badala ya kulipia gharama za maendeleo nchini? Umeshasikia onyo kutoka WB na IMF kuhusu Serikali kuendelea kukopa nje ya uwezo wake?
DAR ES SALAAM, Jan. 12 (Xinhua) -- The International Monetary Fund (IMF) on Friday stepped up its warnings against economic slowdown in Tanzania, saying the government needs to take urgent measures to reverse the downward trend.
DAR ES SALAAM, July 20 (Reuters) - The International Monetary Fund told Tanzania on Wednesday to curtail public spending as it seeks to invest in several major infrastructure projects and urged it to implement structural reforms.
Tanzania’s new president, John Magufuli, wants to invest in a number of projects, including construction of a new standard gauge railway, ports, airport, roads and the revival of the cash-strapped national airline.
But the IMF warned that Tanzania needs to prioritise its development plans and avoid spending beyond its means.
DAR ES SALAAM, Jan. 12 (Xinhua) -- The International Monetary Fund (IMF) on Friday stepped up its warnings against economic slowdown in Tanzania, saying the government needs to take urgent measures to reverse the downward trend.
"Tax revenue collections are lower than expected and credit growth has stagnated reflecting in part banks' rising non-performing loans (NPLs)," said the statement.
Sikurupuki mie **** wewe na ushahidi wa kile nilichoandika nakuwekea hapa mpumbavu mkubwa. Wapumbavu kama wewe ndiyo mnamvimbisha kichwa huyodhalimu na sera zake za kukurupuka zinazoliyumbisha Taifa.
Itakuwa vizuri ukileta evidence budget dependence ni 60%! Ninavyojua ni 8% na hivi ndivyo Wastaarabu hu-argue! Leta yako..
$14b draft budget leaves Tanzania in a fix
SATURDAY MARCH 17 2018
A natural gas well site. Tanzania plans to develop major infrastructure projects in the 2018/19 financial year. PHOTO | AFP
In Summary
- Tanzania has lined up major infrastructure projects that it hopes to implement in the 2018/19 financial year in order to spur economic growth.
- The government faces a Tsh14.3 billion ($6.3 million) shortfall.
By ERICK KABENDERA
More by this Author
Tanzania is planning to spend Tsh32.5 trillion ($14.3 billion) in the next financial year, even as it struggles to meet its revenue targets in the current one, amid shrinking sources including donor support.
The current financial year’s budget is Tsh31.7 trillion ($14 billion).
The government has lined up major infrastructure projects that it hopes to implement in the 2018/19 financial year in order to spur economic growth.
But questions are now being raised on whether the government will realise its expenditure goals following failure to achieve its revenue collection targets.
During a budget ceiling session with MPs last week, the minister for Finance and Planning, Dr Phillip Mpango said poor tax collection was caused by tough conditions imposed by foreign lenders and a change in policies governing foreign assistance.
Revenue collection in the 2016/7 financial year reached Tsh20.64 trillion ($8.98 billion) against a target of Tsh27.42 trillion ($13.26), according to an overview by Hanif Habib and Co certified public accountants. That was a performance rate of 75 per cent.
In the current financial year, the government expects a performance rate of 85 per cent but will still face a Tsh14.3 billion ($6.3 million) shortfall.
The government had hoped to significantly increase domestic revenue collections and reduce dependence on budget support.
Instead, it is now counting on the Development Co-operation Framework (DCF) which is expected to revive poor relationship between the government and development partners. The framework was mediated by former AfDB president Donald Kaberuka who led the government and development partners in addressing the constraints affecting development co-operation.
“The government will continue to improve relationships with the development partners using the DCF with the aim of increasing investment, production, jobs and subsequently revenue collection,” said Dr Mpango.
Revenue collection
Despite donors not meeting their commitments last financial year, the government expects to raise Tsh2,676.6 billion ($1.1 billion) from development partners which is equivalent to eight per cent of the proposed budget total funding.
At 6.8 per cent economic growth registered by September 2017, Dr Mpango said Tanzania’s economy is growing faster than any of its East African member states. The mining sector contributed the highest to growth at 20.3 per cent despite government introducing major policy changes in the sector.
The government said that water distribution in urban areas increased to an average of 79 per cent, electricity to 67.5 per cent and that 3,306 industries had been built.
Domestic revenue increased to Tsh1.3 trillion ($574 million) on average per month from Tsh850 billion ($375,266,000) in 2015.
The government further said that the focus of 2018/2019 budget will be on the Rufiji hydropower project on which it has already spent Tsh3.2 billion ($1,412,760) for feasibility studies, standard gauge railway project whose implementation is expected to reach 15 per cent by June, and reforming its national carrier for which the government has already paid Tsh7.85 billion ($3,465,690) for purchasing new aircrafts.
However, these same projects were highlighted in the 2017/2018 budget estimation except the construction of the liquefied natural gas plant.
$14b draft budget leaves Tanzania in a fix
Link iko wapi ya ulichoandika? Inaweza kuwa 2015 unaongelea Leo! IMF latest news hazina on onyo!Acha upumbavu wewe taahira mkubwa. Hivi unajua katika kila shilingi inayokusanywa na TRA ni kiasi gani kinaenda kulipia riba badala ya kulipia gharama za maendeleo nchini? Umeshasikia onyo kutoka WB na IMF kuhusu Serikali kuendelea kukopa nje ya uwezo wake?
DAR ES SALAAM, Jan. 12 (Xinhua) -- The International Monetary Fund (IMF) on Friday stepped up its warnings against economic slowdown in Tanzania, saying the government needs to take urgent measures to reverse the downward trend.
DAR ES SALAAM, July 20 (Reuters) - The International Monetary Fund told Tanzania on Wednesday to curtail public spending as it seeks to invest in several major infrastructure projects and urged it to implement structural reforms.
Tanzania’s new president, John Magufuli, wants to invest in a number of projects, including construction of a new standard gauge railway, ports, airport, roads and the revival of the cash-strapped national airline.
But the IMF warned that Tanzania needs to prioritise its development plans and avoid spending beyond its means.
DAR ES SALAAM, Jan. 12 (Xinhua) -- The International Monetary Fund (IMF) on Friday stepped up its warnings against economic slowdown in Tanzania, saying the government needs to take urgent measures to reverse the downward trend.
"Tax revenue collections are lower than expected and credit growth has stagnated reflecting in part banks' rising non-performing loans (NPLs)," said the statement.
Sikurupuki mie **** wewe na ushahidi wa kile nilichoandika nakuwekea hapa mpumbavu mkubwa. Wapumbavu kama wewe ndiyo mnamvimbisha kichwa huyodhalimu na sera zake za kukurupuka zinazoliyumbisha Taifa.
Umeongea utumbo tuu.. Nimekuuliza Deni letu ni asilimia ngapi ya uchumi wetu wote??? Au kama kiswahili kinakupa tabu basi what's our Country's debt to GDP ratio?? Na ni kiwango gani ambacho nchi ikifikia kwa madeni IMF wanakuweka kwenye kundi la hatari linaloweza kusababishwa kushushwa uwezo wako wa kukopa?? Kama huwezi kujibu hili swali hapo ulipo paza Sauti useme wewe ni kiongozi wa nyumbu..
Hajawahi hotokea maana kodi zenyewe kila kukicha biashara zinafungwaKila kitu kinawezekana, hutaki, hama/ondoka. Kasikilizie nje. Raisi John Pombe Magufuli Hoyeeee!!
Link iko wapi ya ulichoandika? Inaweza kuwa 2015 unaongelea Leo! IMF latest news hazina on onyo!
Umeongea utumbo tuu.. Nimekuuliza Deni letu ni asilimia ngapi ya uchumi wetu wote??? Au kama kiswahili kinakupa tabu basi what's our Country's debt to GDP ratio?? Na ni kiwango gani ambacho nchi ikifikia kwa madeni IMF wanakuweka kwenye kundi la hatari linaloweza kusababishwa kushushwa uwezo wako wa kukopa?? Kama huwezi kujibu hili swali hapo ulipo paza Sauti useme wewe ni kiongozi wa nyumbu..
Hii ndio sababu comment za nyumbu kama wewe naziruka tu, yani watu kama nyie ni hasara kwa Taifa.. Kukuelewesha MTU kama wewe ni dhambi hata kwa mungu.. Hamuelewagi hata mnachokiongea, mpo mpo tu yani hapa Duniani.. Ngoja nikuache na matahira wenzako mjifurahishe..Huwezi kuelewa nilichoandika mpumbavu wewe. Taasisi muhimu duniani kama WB na IMF zinaionya Serikali kuhusu matumizi kuhusu uwezo wake lakini mpuambavu wewe hulioni hilo. Nyumbu ni babaako na mamaako ndiyo sababu hata onyo la IMF na WB kuhusu kutumia nje ya uwezo wa Serikali wewe taahira hulion tatizo hilo.
Sina haja ya kukuelimisha nimeona akili yako ni ndogo mno, wala hata vitu nitakavyokuelezea hutaweza kuvielewa, Baki kwanza kuwa nyumbu ukikua na ukipata elimu ntarudi kuanza kukuelewesha..Kakurupuka kwenda kununua ndege bila kutafakati kwa kina kama kuna wasafiri wa ndege nchini. Matokeo yake ndege hizo zinasafiri tupu pamopja na gharama kubwa za kuziendesha. Ndani ya miaka miwili tu hasara kwa ATCL ni bilioni 223.1 na bado maana ndege nyingine zinakuja July na bila shaka atafanya utafiti wake na kutaka pia ziende chato hata kama zinakwenda tupu.
Matokeo yake ni kwamba hasara ya ATCL itazidi kuwa kubwa kutokana na gharama kubwa za kuziweka ndege hizo angani huku mapato yake yakiwa kiduchu.
Tuna pesa nyingi sana!!! Sasa kama una pesa nyingi sana inakuwaje ushindwe kukomboa pangaboi iliyokamatwa kule Canada kwa deni la $40 million na kuiacha ikiendelea kupata kutu?
Ni janga kubwa la Taifa huyo dhalimu mkurupukaji na ushahidi uko kila sehemu. Waliomsukumizia Ikulu hawalitakii mema Taifa la Tanzania na raia wake.
Hii ndio sababu comment za nyumbu kama wewe naziruka tu, yani watu kama nyie ni hasara kwa Taifa.. Kukuelewesha MTU kama wewe ni dhambi hata kwa mungu.. Hamuelewagi hata mnachokiongea, mpo mpo tu yani hapa Duniani.. Ngoja nikuache na matahira wenzako mjifurahishe..