NetworkEngineer JF-Expert Member Joined Jun 21, 2012 Posts 1,973 Reaction score 1,205 May 6, 2014 #21 Wakuu mlioitwa weighbridge operator kuna yoyote ameitwa ikiwa hana cheti/diploma/degree ktk engineering ila katumia cheti cha kada nyingine na kaitwa, nataka kujua kama kuna walioapply kwa vyeti vingne wamekuwa considered.
Wakuu mlioitwa weighbridge operator kuna yoyote ameitwa ikiwa hana cheti/diploma/degree ktk engineering ila katumia cheti cha kada nyingine na kaitwa, nataka kujua kama kuna walioapply kwa vyeti vingne wamekuwa considered.
NetworkEngineer JF-Expert Member Joined Jun 21, 2012 Posts 1,973 Reaction score 1,205 May 6, 2014 #22 Mkakomae vijana, nimesikia wanalipa vizuri sana kama laki 9 hvi sina uhakika, kibongo bongo iko poa.
bennynho Member Joined Oct 22, 2010 Posts 65 Reaction score 8 May 17, 2014 #23 Wakuu Kuna ambao wameshaitwa kazin tanga?