Juzi nlipita pale wakat naelekea tanga..kituo tayar.nadhan kwa watu kuanza kazi kumependeza tu...subiria utaitwa ila mawazo yako mengine yalengeshe sehem nyingine
Juzi nlipita pale wakat naelekea tanga..kituo tayar.nadhan kwa watu kuanza kazi kumependeza tu...subiria utaitwa ila mawazo yako mengine yalengeshe sehem nyingine
Jamani walioitwa weighbridge kuna yoyote ameitwa ikiwa hata cheti/diploma/degree ktk engineering, nataka kujua kama kuna walioapply kwa vyeti vingne wamekuwa considered.