Nadhani Bwana Chin anafanya hayo yote kutokana na uzalendo na mapenzi kwa nchi yake, tofauti na watu kama MmawiaBavarianifahLAKI si pesa ambao inaonekana wazi kabisa kuwa walikuwa wanategemea kunufaisha matumboyao wenyewe!
Nadhani Bwana Chin anafanya hayo yote kutokana na uzalendo na mapenzi kwa nchi yake, tofauti na watu kama MmawiaBavarianifahLAKI si pesa ambao inaonekana wazi kabisa kuwa walikuwa wanategemea kunufaisha matumboyao wenyewe!
Sijataja sababu na wala siijui, nilichokisema ni kwamba iwe ni kwa sababu yeyote ile, jamaa ameonyesha kiwango cha juu sana kuanzia kampeni hadi sasa hivi. Wakubwa wasipompoza hawatakua wamemtendea sawa.