Tangu Soka lianze hadi leo hii, Kuna Mchezaji yeyote aliyefikia kiwango cha Maradona au Messi?


Mtoto mdogo kakuzidi akili nyingi tu,, kwa akili yako utaiamini hiyo iffs? Yaani maradona wa 5? Are u serious? Hata mtoto mdogo hawezi kudanganyika kihivyo

(Maelezo haya from fifa)Mwaka 2000 katika zawadi ya mchezaji bora wa karne iliyotangazwa na FIFA, Maradona alikwenda sambamba katika kugombea mchezaji bora wa karne na Pele baada ya wote kuwa wa kwanza katika uchaguzi wakuchagua ambao FIFA ilitangaza kipitia rai za watu kwenye Internet ili kuchagua mchezaji bora wa karne ya 20.

Diego Armando Maradona received a FIFA award after being voted best footballer of the 20th century in an Internet fan poll
Maradona won the Internet based poll by wide margins, garnering 53.6% of the votes against 18.53%

Ukweli ni kwamba kuna uhuni ulitokea pale fifa kabla ya kumchagua best player of 20th Century...in-short Diego maradona alipata ushindi wa halali kutoka kwa mashabiki ulimwenguni kupitia mdandao wa Internet na kumtupilia mbali pele,, hii kitu fifa wameificha na ndiyo maana haionekani bali utakuta wote wako sawa na pele, na wamempachika nafasi ya kwanza kwa kuudanganya ulimwengu ila ukweli unajulikana.

maradona actually won the award but fifa decided to share among them. https://jamii.app/JFUserGuide fifa
 
Unajua maana ya IFFHS?
hyo ndo agency ya FIFA inayoshughulika na statistics
kura ni mapenzi ya waliopiga kura
lakin takwimu hazidanganyi
 
Unajua maana ya IFFHS?
hyo ndo agency ya FIFA inayoshughulika na statistics
kura ni mapenzi ya waliopiga kura
lakin takwimu hazidanganyi
Achana nae ajui anayoyaandika eti watu waulizwe barabara ngapi zimejengwa Kwa kiwango cha lami waseme 26% alafu tanroad waseme 43% tuwakatalie tanroad tuwaamini watu ambao hawana utafiti na mamlaka Mpaka MTU ameijua IFFHS ndio atakubali maradona asogelei viumbe walioko juu yake kwenye list tajwa kimafanikio na kila kitu
 



Maradona is best no player can reach maradona .But i think Messi is most greatest player in the world ever seen after his career finish.

quotes on maradona the list of players and infinity
Zidane: the greatest ever
2: Careca: admiteas was far better than pele
3: Bobby Charlton: the greatest footballer
4: Gullit: he was from another world
5: Marco van Basten: The Greatest footballer ever
6: Former manager of england bobby robson: hate him or love him he was the greatest player of all time.
7: Zola: he was the god of football
8: Ronaldhino: hes was my idol and greatest
9: won player of the century at fifa 2000 awards
10: C. Ronaldo the greatest
11: Ze Roberto and R. Carlos: Maradona was without doubt the greatest
12: Bearzot: Maradona is football
13: Sacchi on sky: Maradona is the best player in the world
14: Baggio: Maradona all players dream
15: gentile: Maradona better than Pelè
16: Boscov: Maradona can not be compared
17: Sivori: maradona the best in the world
18: Cantona: Maradona is greatest art.The
19: Eusebio: Maradona was the greatest
20: Maldini: Maradona is Maradona


Football was naive on the days Pele . Now it has become more complicated . Strategies have appeared . Maradona faced greater teams than Pele . Unlike Pele , who was nat the only star in his team ,Maradonna was the only star in the team and Napoli . Besides ,the dribbing and passing abilities Maradona has , Pele did not have . I think if Pele played today ,he would not create the row he created in the fifties. Also records are sometimes stupid .Pele was injured in one of World Cups and did not continue .Yet , it is mentioned as one of his ahcievements. No doubt ,Maradona is the best of all times.
 
Gaucho, huyu jamaa alinifanya nianze kupenda futibol hasa timu ya bacelona..
 
Unajua maana ya IFFHS?
hyo ndo agency ya FIFA inayoshughulika na statistics
kura ni mapenzi ya waliopiga kura
lakin takwimu hazidanganyi

Sasa wewe unalazimisha wadau waamini unachokisema? Nimekuambia acha kupotosha watu, ...fungua hapa halafu uniambie tena mimi muongo! Japo maradona alitakiwa awe mshindi wa halali kwa kura nyingi alizopata lakini FIFA ikaamua wote wawe sawia ama (sawa)

Diego Armando Maradona Franco – IFFHS BETA
 


hujui ukisemacho ni bora ukae pending, ningekuona wa maana kama utachangia hii mada kwa uzuri..lakini naona umekuja na maneno ya kipumbavu yasiyokuwa na maana, unafuata mkia tu wala hujui tunajadili nini
 

Huo ni mutazamo wako wewe! So I think you don know what that means football! I see you just guessing,
There is no comparison – Maradona full stop. I would go so far as to say there will never ever be another player who would come close to him.
 
Huo ni mutazamo wako wewe! So I think you don know what that means football! I see you just guessing,
There is no comparison – Maradona full stop. I would go so far as to say there will never ever be another player who would come close to him.

Nimeyapenda maneno hayo"
 

Usimtaje Garincha bila kuwataja Alfredo de stefano, mario kempes,Redondo,Beckenbauer and johan cruiff..,,​

So that MARADONA was better than all players because MARADONA was more successful than all players..........DIEGO ARMANDO; No Doubt
 

u are absolutely right .. Well,one thing is for sure.Pele didn’t have the same amount of ball control as Maradona.I have seen at least 7-8 full matches of Pele and he lost the ball much more easily than Maradona.Maradona had a stronger influence in the games he played.Both his dribbling,passing and vision were better.Maradona was the best ever.

There is no comparison – I would go so far as to say there will never ever be another player who would come close to him except King Messi alone
 
I couldn't agree with u more mkuu. Thats quite obvious
 


Messi: God has sent me to teach this generation how to play football.

C.Ronaldo: No man,I am the one who is sent.

Gaucho: I have n't sent anyone.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…