Glory Ambroce
Member
- May 18, 2015
- 36
- 8
Wabongo taabu, walioitwa ni waliomba nafasi ya chuo Pasiansi na wala si Tanapa.
Kwa mlio apply Tanapa wameita watu kwenye usaili gazeti la Mwananchi 15/6/2015 lina majina.
Mbona Sielewi? taarifa hizi zina ukweli wowote? mnaojua mtuthibitishie jamani kwa msaada zaidi.
hazina ukweli kiongozi punguza jazba