ni zaidi ya masaa 50 sasa na taarifa zote zinaonyesha kuwa waathirika ni wengi, je tamko limetoka!?
Sasa hao waathirika wafuate msimamo na ushauri wa nani ...chukulia mtu anayemtoa mgonjwa hospitali kwa mategemeo yalelele ya kuwa na imani na serikali yake kwa maana ilitamkwa hapo awali kuwa "serikali imejipanga"!