Tala tanzania

IKB

Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
75
Reaction score
29
Kwa mkopo mrahisi wenye riba nafuu zaidi usio na ubabaishaji wa aina yoyote ndani ya dakika tano ,Tala ndo jibu lako

Cha kufanya ingia playstore kisha pakua app ya Tala Tanzania

Baada ya hapo jibu maswali machache ili unufaike na mkopo


Tembelea Google play store udownload apps
Fungua link hii hapa
https://play.google.com/store/apps/details?id=tz.com.tala
 
mkuu tukipakua mwishoni si tutapakuliwaπŸ˜€πŸ˜€
 
Mbna ni adi uwe na line ya tigo tu kwa sisi wenye voda na mitandao mingne ina kuaje da
 
Tatizo mnamashart ya vitambulisho vya kupigia kula utafikili wote tunapiga kula vile kwann msiseme na vitambulisho vya utaifa?
 
najua but hujanielewa unakopa elf 30 unarudisha 36000 kwa mwezi afu wanakupa elf 40 yaani ongezeko la elf nne tu
 
Unapewa Kwanza mkopo mdogo ukilipa mapema unaongezewa hadi millioni. Kula wengine walianza na hiyo 20000 kwasasa hapo kwenye laki tatu naa wengine million kasoro
 
Unapewa Kwanza mkopo mdogo ukilipa mapema unaongezewa hadi millioni. Kuna wengine walianza na hiyo 20000 kwasasa wapo kwenye laki tatu naa wengine million kasoro
 
 
sio kweli mm nakopa hapo tala hakuna hizo double unazosema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…