Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,566
Kuna vitu fulani huwa vinatutokea kwenye miili yetu halafu unabaki tu na maswali kwakua ni wewe tu unatatizwa.
Mimi kuna hii habari ya kucheua baada ya kula,yaani unagonga zako msosi freshi,baada ya kushiba zako umetulia zako maraaaa paaaa kanakuja kahamu fulani kama ka kurudisha chenji...unaamua kukatilia maanani,mara paaaaaaa nyama izi hapa mdomoni toka tumboni..unaanza kuzimanga tena,alafu ukiwa hujakaa sana bado zinakua na utamutamu flani kama ndio kweli unakula hapohapo...haka kamchezo mimi nakapenda lakini kamekua kero kwa watu wa karibu pia sometimes ni aibu fulani hivi...so nikiona kuna mtu ananitinga naenda zangu kando najilisha tena...
Sasa sijui ni tatizo au ni baraka au kipaji tulichonacho wachache wateule.
Tupeane uzoefu
Na wewe taja katatizo kako basi
Mimi kuna hii habari ya kucheua baada ya kula,yaani unagonga zako msosi freshi,baada ya kushiba zako umetulia zako maraaaa paaaa kanakuja kahamu fulani kama ka kurudisha chenji...unaamua kukatilia maanani,mara paaaaaaa nyama izi hapa mdomoni toka tumboni..unaanza kuzimanga tena,alafu ukiwa hujakaa sana bado zinakua na utamutamu flani kama ndio kweli unakula hapohapo...haka kamchezo mimi nakapenda lakini kamekua kero kwa watu wa karibu pia sometimes ni aibu fulani hivi...so nikiona kuna mtu ananitinga naenda zangu kando najilisha tena...
Sasa sijui ni tatizo au ni baraka au kipaji tulichonacho wachache wateule.
Tupeane uzoefu
Na wewe taja katatizo kako basi