Taja midfielder aliye fomu kwa sasa kwenye EPL

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Jan 1, 2017
20,722
45,129
Tunaelekea krisimasi, EPL ndo kwanza imechanganya, wakati ligi nyingine zikikaribia mapumziko ya sikukuu. Kwa upande wa EPL ndo kwanza mambo yamechangamka; ligi hii haisimami inapigwa mechi mfululizo kipindi cha Krisimasi mpaka Mwaka Mpya.

Wakati hayo yakiendelea ni midfielder/kiungo gani ambaye yuko fomu msimu huu amekuvutia mno? Mimi kwasasa namkubali sana Mateo Kovacic.
 
Tonguy Ndombele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…