Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,722
- 45,129
Daaaahhh, naimisi sana Arsenal ya kina Henry, Sagna, Adebayor et al.
Jamaa anatuwakilisha Waafrika pale kwenye ardhi ya Malkia Elizabeth.Onyinye Wilfred Ndidi
Tonguy NdombeleTunaelekea krisimasi, EPL ndo kwanza imechanganya, wakati ligi nyingine zikikaribia mapumziko ya sikukuu. Kwa upande wa EPL ndo kwanza mambo yamechangamka; ligi hii haisimami inapigwa mechi mfululizo kipindi cha Krisimasi mpaka Mwaka Mpya.
Wakati hayo yakiendelea ni midfielder/kiungo gani ambaye yuko fomu msimu huu amekuvutia mno? Mimi kwasasa namkubali sana Mateo Kovacic.
Albino anatishaView attachment 1293942View attachment 1293943View attachment 1293944
Sent using Jamii Forums mobile app