Nilisoma blog za malawi,wanakilaumu kikosi chao kilichokuja leo.
so ushindi tuushangilie lakini tuwe alert na timu zinazojielewa tutakazokutana nazo mbeleni
hasa Egypt kwenye AFCON marudiano maana hatuna historia nayo nzuri,Simba yangu ingekuwa kwenye form ningesainisha petititon ili mechi hiyo ya Stars vs Egypt kipangwe kikosi cha Simba,Historia haidanganyi(linapokuja swala la Simba vs muarabu yeyote).