Ndiyo Mkuu, ni Jumapili. Bado sijaona Live broadcast ya TV yoyote, mwenye taarifa atupatie. Si vibaya hata tukipata Live stream links ili tuione hiyo mechi. S9 EA watarusha marudio ya mechi hiyo ifikapo 1800hrs CAT.
Ndiyo Mkuu, ni Jumapili. Bado sijaona Live broadcast ya TV yoyote, mwenye taarifa atupatie. Si vibaya hata tukipata Live stream links ili tuione hiyo mechi. S9 EA watarusha marudio ya mechi hiyo ifikapo 1800hrs CAT.
Bongo bana hatujali wala kujivunia vya kwetu. Karne hii kweli tunashindwa kupeleka media zetu, tv au redio? Hivi hatujatambua kuwa nchi na bidhaa za nchi vinatangazwa kwa njia nyingi?
Bongo bana hatujali wala kujivunia vya kwetu. Karne hii kweli tunashindwa kupeleka media zetu, tv au redio? Hivi hatujatambua kuwa nchi na bidhaa za nchi vinatangazwa kwa njia nyingi?