Tunahitaji kuwa na taifa imara na lenye umoja kuliko tunavyo hitaji kumpata rais wa nchi hii. Kauli ya kuwagawa watanzania inapaswa kukemewa na kila kiongozi mpenda nchi hii. Pia ni wajibu was kila mtanzania kuwapuuza wanaotaka kutugawa kwa misingi ya kidini,kikanda na kikabila.
Leo, nimesinoneshwa na kauli ya mmoja wa wanenaji katika viwanja vya jangwani pale alipoongelea "ukaskazini..........".
Tuungane kulaani na kukemea kauliza namna hii ndani ya nchi yetu. Pia kama MTU hajui cha kuongea, asipewe nafasi
Kwani kasema uongo?
Kwani kasema uongo?
Mfyuuu! unawaacha wenye ukabila wa wazi unawasema ccm, hivi Arusha na Moshi ukienda leo si wamejinasibisha kwa chadema na NCCR wazi wazi hata hawataki kuiona ccm kabisa kwa sababu ya ukanda mpaka wenyeviti wa ccm huko wamejiunga kwa ukanda. Hao wanaojiunga na kupewa nafasi huko chadema wanatoka kanda gani? Nyumbu we!
Mfyuuu! unawaacha wenye ukabila wa wazi unawasema ccm, hivi Arusha na Moshi ukienda leo si wamejinasibisha kwa chadema na NCCR wazi wazi hata hawataki kuiona ccm kabisa kwa sababu ya ukanda mpaka wenyeviti wa ccm huko wamejiunga kwa ukanda. Hao wanaojiunga na kupewa nafasi huko chadema wanatoka kanda gani? Nyumbu we!
c c m ni kabila gani?. ulitaka waende chama gani?. mimi sio mchanga ila hili linaniumiza wachaga wana nini mpaka muwachukie?.
Tunahitaji kuwa na taifa imara na lenye umoja kuliko tunavyo hitaji kumpata rais wa nchi hii. Kauli ya kuwagawa watanzania inapaswa kukemewa na kila kiongozi mpenda nchi hii. Pia ni wajibu was kila mtanzania kuwapuuza wanaotaka kutugawa kwa misingi ya kidini,kikanda na kikabila.
Leo, nimesinoneshwa na kauli ya mmoja wa wanenaji katika viwanja vya jangwani pale alipoongelea "ukaskazini..........".
Tuungane kulaani na kukemea kauliza namna hii ndani ya nchi yetu. Pia kama MTU hajui cha kuongea, asipewe nafasi
c c m ni kabila gani?. ulitaka waende chama gani?. mimi sio mchanga ila hili linaniumiza wachaga wana nini mpaka muwachukie?.
Kauli kama hizi zikiendelea kufumbiwa macho zitaliangamiza taifa. Ukiangalia kwa making, chama tawala na ambacho kina jukumu la kulinda utulivu na aman ya nchi ndicho kinachochea siasa za kikanda na kikabila. Nitasikitika sana kama Mzee mwinyi, Mkapa na Kikwete watafumbia macho kauli kama hizi.
Tunahitaji kuwa na taifa imara na lenye umoja kuliko tunavyo hitaji kumpata rais wa nchi hii. Kauli ya kuwagawa watanzania inapaswa kukemewa na kila kiongozi mpenda nchi hii. Pia ni wajibu was kila mtanzania kuwapuuza wanaotaka kutugawa kwa misingi ya kidini,kikanda na kikabila.
Leo, nimesinoneshwa na kauli ya mmoja wa wanenaji katika viwanja vya jangwani pale alipoongelea "ukaskazini..........".
Tuungane kulaani na kukemea kauliza namna hii ndani ya nchi yetu. Pia kama MTU hajui cha kuongea, asipewe nafasi