johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,961
- 141,959
Kiukweli akina mama lishe, wakaanga chips, wauza mboga mboga, wauza supu za utumbo, wachoma vitumbua nk hawa siyo wamachinga bali ni wajasiliamali wadogo wanaotambuliwa na Ilani ya CCM na hata ile ya Chadema iliyoshindwa.
Wamachinga ni wale wachuuzi wanaozunguka mitaani na bidhaa mkononi.
Nataka kuweka kumbukumbu sawa tu!
Wamachinga ni wale wachuuzi wanaozunguka mitaani na bidhaa mkononi.
Nataka kuweka kumbukumbu sawa tu!