GSM imewasajilia Yanga matatizo kwani ujue mishahara ndio litakuwa tatizo kubwa kwa Yanga.Hela za mishahara watakosa na wachezaji hawataonyesha kiwango
1.Simba
2.Azam
3.Namungo
4.Police Tanzania
Yanga bado inaendeshwa kiswahili sana kama ianze kuimarika kama taasisi itachukua kama miaka 3 na approach ya GSM ya kuwanunulia wachezaji na kuwanunulia wasemaji au wahasishaji wa Timu unaendelea kuibomoa Yanga.
Angalia suala dogo tu kama msemaji wa Timu pale Yanga ni vurugu.Kuna Bumbuli, Baba Levo, Antonio Nugaz na wote hawajui kazi yao. Mwakalebela au Msola ukimuuliza mishahara GSM walikubaliana shs ngapi kwa mwezi hata hawajui na huyo Senzo hana kazi hapo
5.Yanga