cku zote mtanzania hatumii muda kufikiria namna ya kuwa kinara kimaendeleo. Mi ni mwanafunz lakn bro ulichoandka nakupa pole na ubadilike wenzio hayo tumeona hayatatusaidia.
Piga shle, piga kaz, tutakuona wa maana ila siyo kunena hayo hujajua hasara za utandawaz?