Kila mtu anahaki ya kurudishiwa kitu ambacho ni halali yake, kama unadai shl. 100 ni haki yako, njia za kutunza vzr uchumi wako ni kuwa makini na kila shilingi ambayo ni yako, watu wanachukulia poa ndo maana kila cku wanalia maisha magumu, shilingi ya kitanzania inashuka thamani, hii yote ni kwasababu tunawaachia wengine hela zetu kwa kudharau kwamba ni ndogo au kuona aibu kuzidai