Taarifa ikufikie ya kwamba.........

Sio kweli wanawake wenye hiyo miaka 30-40 huwa wanajitambua sana tofaut na vitoto vya miaka chin ya hapo

Napinga na siungi mkono hoja
Miaka 30-40, bado unatafuta mchumba empty set kabisa. Dead line kuzaa 35, ndo maana mitoto inakuwa ya hovyooo
 
Sio kweli wanawake wenye hiyo miaka 30-40 huwa wanajitambua sana tofaut na vitoto vya miaka chin ya hapo

Napinga na siungi mkono hoja
Wnawake wa age hiyo huwa hawana mambo mengi. Yaan huwa hawana childish behaviours kama hawa wa 20's.. yaan wako straigh kuwa wanahitaj nn, na wanajituma pia.
 
Wengi wao nakutana nao wanademand japo kuwa na mtoto
 
Naona Shunie keshafanya yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…