Sawa kabisa,,,lakini nikuasmbie kitu,,,atawakoloni walipanda mbegu ambazo,,baadae zikawaalibia wenmyewe,,mbegu hizo zilikuwa kama,,unyanyasaji,,,mateso,,,,na zingine,,hicho wanachofanya hawa jamaa ambao wapo madalakani saiz,,,ndio kileta ukombozi,,,wala usichukie,,,,waombee,,,waendelee kufanya manyanyaso mengi mpaka wale wanaoendelea kukibali hicho chama,,,wajute,,,,mimi nawapongeza,,,,