Silima MK Member Joined Mar 10, 2018 Posts 23 Reaction score 24 Jul 31, 2019 #1 Habari wadau, taa kwa ajili ya tafrija mbali mbali pamoja na viti vinauzwa. Bei ya taa ni mil. 12 kwa taa zote na viti ni sh. 40,000/= kwa kiti kimoja. Viti vipo mia sita na taa zipo 27. Tafadhali nipigie 0621882020 kwa maelezo zaidi.
Habari wadau, taa kwa ajili ya tafrija mbali mbali pamoja na viti vinauzwa. Bei ya taa ni mil. 12 kwa taa zote na viti ni sh. 40,000/= kwa kiti kimoja. Viti vipo mia sita na taa zipo 27. Tafadhali nipigie 0621882020 kwa maelezo zaidi.
Silima MK Member Joined Mar 10, 2018 Posts 23 Reaction score 24 Sep 7, 2019 Thread starter #2 Viti bado vipo wadau, napokea minimum order viti 30, bei ya mazungumzo ipo kwa order kubwa karibuni sana
Viti bado vipo wadau, napokea minimum order viti 30, bei ya mazungumzo ipo kwa order kubwa karibuni sana
Ulongupanjala JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8,523 Reaction score 14,002 Sep 7, 2019 #3 Nikiona taa inauzwa 12milioni nashtuka sana,sisi wengine tunajua taa ya chemli tu ambayo haizidi msimbazi. Msinishangae wajameni mimi nipo Koromije!!
Nikiona taa inauzwa 12milioni nashtuka sana,sisi wengine tunajua taa ya chemli tu ambayo haizidi msimbazi. Msinishangae wajameni mimi nipo Koromije!!
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,945 Reaction score 193,990 Sep 7, 2019 #4 Ngoja waje... Cc: mahondaw
mtzedi JF-Expert Member Joined Dec 13, 2011 Posts 6,199 Reaction score 6,461 Sep 8, 2019 #5 Taa 27 pcs zidisha 12M =324M Zitarudi kweli hizo pesa?
The Transporter JF-Expert Member Joined Aug 26, 2016 Posts 3,582 Reaction score 7,249 Sep 8, 2019 #6 mtzedi said: Taa 27 pcs zidisha 12M =324M Zitarudi kweli hizo pesa? Click to expand... mmmh
K Kambi1 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2017 Posts 353 Reaction score 309 Sep 8, 2019 #7 mtzedi said: Taa 27 pcs zidisha 12M =324M Zitarudi kweli hizo pesa? Click to expand... Utafanyia kazi gani
mtzedi said: Taa 27 pcs zidisha 12M =324M Zitarudi kweli hizo pesa? Click to expand... Utafanyia kazi gani
Silima MK Member Joined Mar 10, 2018 Posts 23 Reaction score 24 Sep 8, 2019 Thread starter #8 mtzedi said: Taa 27 pcs zidisha 12M =324M Zitarudi kweli hizo pesa? Click to expand... Taa zote kwa pamoja zinauzwa 12m
mtzedi said: Taa 27 pcs zidisha 12M =324M Zitarudi kweli hizo pesa? Click to expand... Taa zote kwa pamoja zinauzwa 12m
Silima MK Member Joined Mar 10, 2018 Posts 23 Reaction score 24 Sep 8, 2019 Thread starter #9 Emilias G said: Nikiona taa inauzwa 12milioni nashtuka sana,sisi wengine tunajua taa ya chemli tu ambayo haizidi msimbazi. Msinishangae wajameni mimi nipo Koromije!! Click to expand... taa zote kwa pamoja zianauzwa 12m
Emilias G said: Nikiona taa inauzwa 12milioni nashtuka sana,sisi wengine tunajua taa ya chemli tu ambayo haizidi msimbazi. Msinishangae wajameni mimi nipo Koromije!! Click to expand... taa zote kwa pamoja zianauzwa 12m