Wadau wa forum,naomba kujuzwa kama kuna mwenye taarifa juu ya shirika la T-MARC walitoa nafasi za kazi za muda mfupi wa miezi 3,naomba kufahamishwa kuwa wamefikia wapi ktk mchakato wao.
NDUGU YANGU NAFASI BADO HATA SHORTLISTING HAIJAFANYIKA. KUMBUKA DEADLINE ILIKUWA 16/12/11 WEEK MOJA BAADAE IKIWA NI WEEK YA MAANDALIZI YA XMAS, kwa hiyo wadau wengi walikuwa wako likizo......bila shaka kuanzia week hii kazi ya uchambuzi itaanza
NDUGU YANGU NAFASI BADO HATA SHORTLISTING HAIJAFANYIKA. KUMBUKA DEADLINE ILIKUWA 16/12/11 WEEK MOJA BAADAE IKIWA NI WEEK YA MAANDALIZI YA XMAS, kwa hiyo wadau wengi walikuwa wako likizo......bila shaka kuanzia week hii kazi ya uchambuzi itaanza
u dont deserve kuwa HR.., hata kama ungekuwa HR usingethubutu kutoa kauli kama hiyo jukwaan kweupeei......, kweli fani ya u ' HR' imeingiliwa.... damn ....!
kuna rafiki yangu jana ndo kapigiwa aende kwenye interviw. Hii habari yangu ni ya uhakika ila sina evidence ya kuwawekea lakini km mtu uliomba unaweza ukatafuta namba yao halafu ukawadanganya ulikuwa haupatikani kwa muda mrefu sasa unataka kujua km washaita watu utakuwa umepata majibu
u dont deserve kuwa HR.., hata kama ungekuwa HR usingethubutu kutoa kauli kama hiyo jukwaan kweupeei......, kweli fani ya u ' HR' imeingiliwa.... damn ....!
we ndo ***** akili zenyewe hamna mnasumbua watu tu hapa kuuliza uliza..si uwatumie email kuwauliza...uza hata chipsi sio lazima ukae ofisini ndo uone una kazi