Una point nzuri, lakini tatizo linabaki pale pale, yeye Assad kwa nini asingejipumuzikia tu?? Unajua ukifuata trend ya hii hali ya hewa utagundua kuwa watu wanapenda kutawala "power" kama ilivyo kwa wanandoa!....Lakini hizi idadi za watu wanaosemekana kuuawa kila siku zinazotolewa na taasisi mbali mbali za Umoja wa Mataifa na Taasisi nyingine ni za Kweli ama jamaa wanamchukia tu Assad na wanataka kutuaminisha na sisi wengine kuwa jamaa hafai?? kila wiki/siku utaikia idadi mpya ya watu wanaosemekana kuuawa na majeshi ya serikali lakini hata siku moja husikii hata askari mmoja kuuawa! Hizi tarakimu zina ukweli wowote ama jamaa ndio wanataka kumuondoa Jamaa madarakani kama walivyofanya kwa wengine???
Mkuu MpigaKelele, propaganda za kirashia zinakupotosha!
Mkuu, ushahidi wote wanaotoa (RT,CCTV,PRESSTV n.k.) pamoja na mazingira ya wazi ya kupinga amani nchini Syria ya wapinza wehu wa Serikali ya Syria (W2S2) bado una sema hizi ni propaganda za Urusi? Hapa hauitendei haki RT na washirika wake.Mkuu MpigaKelele, propaganda za kirashia zinakupotosha!