Nimefuatilia post yako na naona umetaja tu Chadema..inamaana chadema ndicho chama pekee cha upinzani TZ?
Chadema hii hii nayoijua ya Ubinafsi, majigamo, utemi, ukabila, udini na utabaka,kwa mawazo yako chama kama hiki kitakaa kipate majority support na kiongoze nchi?