Swali

ccm wamechafuka mno nao wanalijua hilo sema hawawezi kuadmit waziwazi, bila kuwa na kadi yao ninaisapot cdm kutokana sera zao lakini nao endapo cdm watashi madaraka afu wasitende wanachosema kama wafanyavo ccm sasa nao ntawapiga chin sitakiwi kuogopa mabadiliko kama sijafikia malengo yangu! Hakuna chama spesho vyama vyote vilijue hilo naikataa ccm kwa sbb ya utendaji wao mbovu na si vinginevo!
 
Rejao

  • Ubinafsi = CCm Inaongoza kwa ubinafsi kuliko vyama vingine
  • Utemi= CCM is better in utemi than CDM.
  • Majigambo= Hap sijui una maanisha nini Waliwao kuambiwa wafanyabisharwa wakitaka kufanikiwa wawe . Sijui hayo ni nini
  • ukabila, udini= Sawa na sasa hivi sasa CCM inateua mawaziri sio kutokana na utendaji wao bali kutokana na dini na makaliba yao. Je huu sio udini na uabila . eti kila mkoa una waziri. Hivi hizo ndio standard za karne. Binafsi hata akiteua JK akiteua Dini X na kabila Y viongozi wote taungalie nini wanafanya na nini hawafanyi.
  • Tabaka= Ndani ya CCM ndio kuna matabaka hasa. Si unaona wezi wa EPA wanaambiwa waudishe pesa taratibu lakini mwizi wa kuku....... NDo matabaa hayo.......

Sasa kama chama chenye umri wa miaka zadi ya 40 kina hizo sifa zote ulizotaja iweje utegemeee vyama viachanga vinavyojijenga vikose sifa ndogo ndogo kama hizo. teh teh teh teh

Summary
sio kwamba CDM ni best choice lakini ni wazi kuwa CCM ni worst choice na ila siku zinavyozidi hali ndo ikakuwa from worst to worstest teh teh teh teh teh ( Kiranga niko sahiii na hii lugha)
 



Swala ni kwamba tusianze kutafuta namna ya kujihami mapema wakati hata madaraka yenyewe bado hatujayapata.
Siku zote ng'ombe akivunjika mguu hujikongoja zizini. Kwa hiyo hata kama chadema wakipata madaraka na baadaye kuchemsha, wenye chama ndo watajua nini cha kufanya on the sport na hatupaswi kuanza kujitabiria kufeli kuendesha nchi kama chama kilichopo madarakani kwa sasa.

TUSIFIKIRIE KUFELI MBELINI MAANA TUNAWEZA KUSITISHA SAFARI YETU....
 
Mimi sio mwanachama wa chama chochote kile,ila ni "shabiki na mpenzi wa haki na uhuru "!
chama chochote kile ambacho naona kinafuta kile ninacho amini mimi,then kikaingia
madarakani kikalewa madaraka na kusahau misingi yake sita ki-support kwa vyovyote vile
na nitaangalia chama cha ku-support kwa wakati huo (kama kitakuwepo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…