Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
Hill Swali la kill mtu hapa
Juzi kati nipo zangu sinza nikaitiwa tenda nikajongea sinza maeneo ya kijiweni
Nilipomaliza natoka kumbe pale nilipoitiwa pembeni kulikuwa na guest house sikujua mara paaaaap namwona shem huyooo anatoka na kabinti kengine !
Roho ilinisimama lakini nikajikaza. .. kufika mbele tukakutana ana kwa ana shem kawa mpole kama paka kamwagiwa maji
Nikawasalimia fureeeshiii tu na huyooo kimada wake nikaondoka lkn sikuondokaaa walipoondoka nikarudi kukagua eneo la tukio kama afandee
Kuulizia ulizia na kumpa dada
Wa reception elfu 50 akaniambia anakujaga kila alhamisi lunch time saa 7 mpaka 8 anaondoka kwa mwezi mara 2 au 3 wanawake tofauti
Doh... bad sijakata tamaaa
Je ingekuwa ni wewe ungemweleza DADAKO kuwa mumeo anakitembeza guest house flan sinza? !
Siongelei madada Wa kubipu sijui kufikia naongelea Blood Sisterr
Juzi kati nipo zangu sinza nikaitiwa tenda nikajongea sinza maeneo ya kijiweni
Nilipomaliza natoka kumbe pale nilipoitiwa pembeni kulikuwa na guest house sikujua mara paaaaap namwona shem huyooo anatoka na kabinti kengine !
Roho ilinisimama lakini nikajikaza. .. kufika mbele tukakutana ana kwa ana shem kawa mpole kama paka kamwagiwa maji
Nikawasalimia fureeeshiii tu na huyooo kimada wake nikaondoka lkn sikuondokaaa walipoondoka nikarudi kukagua eneo la tukio kama afandee
Kuulizia ulizia na kumpa dada
Wa reception elfu 50 akaniambia anakujaga kila alhamisi lunch time saa 7 mpaka 8 anaondoka kwa mwezi mara 2 au 3 wanawake tofauti
Doh... bad sijakata tamaaa
Je ingekuwa ni wewe ungemweleza DADAKO kuwa mumeo anakitembeza guest house flan sinza? !
Siongelei madada Wa kubipu sijui kufikia naongelea Blood Sisterr