Mimley Mahela Member Joined Mar 16, 2016 Posts 16 Reaction score 3 Jun 18, 2016 #21 de hunter said: Hata sijui ni kwa nn wanachelewesha hivi mpka mtu unasahau bwana kama ulikua unasoma Click to expand... Duhh yani me hapa nlipo nmejichpokea nmekaa saan home mpka WATU wanaanxa kuja kuniposa wamesahau kabisa KAma me ni studenty
de hunter said: Hata sijui ni kwa nn wanachelewesha hivi mpka mtu unasahau bwana kama ulikua unasoma Click to expand... Duhh yani me hapa nlipo nmejichpokea nmekaa saan home mpka WATU wanaanxa kuja kuniposa wamesahau kabisa KAma me ni studenty
gauchothelegendary Member Joined Jun 16, 2016 Posts 27 Reaction score 30 Jun 18, 2016 #22 Mimley Mahela said: Duhh yani me hapa nlipo nmejichpokea nmekaa saan home mpka WATU wanaanxa kuja kuniposa wamesahau kabisa KAma me ni studenty Click to expand... Usinifurahishe lakini mbona ni kawaida hata mwaka jana ilikua hivyo
Mimley Mahela said: Duhh yani me hapa nlipo nmejichpokea nmekaa saan home mpka WATU wanaanxa kuja kuniposa wamesahau kabisa KAma me ni studenty Click to expand... Usinifurahishe lakini mbona ni kawaida hata mwaka jana ilikua hivyo
Pure Scientific JF-Expert Member Joined Nov 19, 2015 Posts 716 Reaction score 644 Jun 20, 2016 #23 Nasikia wiki hii sijui kweli au kick
Pure Scientific JF-Expert Member Joined Nov 19, 2015 Posts 716 Reaction score 644 Jun 20, 2016 #24 Hivi wanahusika kutoa post ni wizara ya elimu au tamisemi na kwanini wanapenda kuchelewesha post na kuwapa muda mdogo wazazi na wanafunzi kujiaandaa
Hivi wanahusika kutoa post ni wizara ya elimu au tamisemi na kwanini wanapenda kuchelewesha post na kuwapa muda mdogo wazazi na wanafunzi kujiaandaa
N NicholausII Member Joined Jun 13, 2016 Posts 7 Reaction score 1 Jun 20, 2016 #25 Michael joshua said: Habari zenu jaman Kama title inavyo sema naomben kuuliza hivi post za form four bado tu na hivi zinaweza zkatoka lini Ni hayo tu wakubwa Click to expand... Mwezi Wa sita mwishoni kuweni wavumilivu
Michael joshua said: Habari zenu jaman Kama title inavyo sema naomben kuuliza hivi post za form four bado tu na hivi zinaweza zkatoka lini Ni hayo tu wakubwa Click to expand... Mwezi Wa sita mwishoni kuweni wavumilivu
Pure Scientific JF-Expert Member Joined Nov 19, 2015 Posts 716 Reaction score 644 Jun 20, 2016 #26 NicholausII said: Mwezi Wa sita mwishoni kuweni wavumilivu Click to expand... Mkuu yaitaji uvumilivu kweli kweli
NicholausII said: Mwezi Wa sita mwishoni kuweni wavumilivu Click to expand... Mkuu yaitaji uvumilivu kweli kweli
Andrew Sosipeter Senior Member Joined May 29, 2016 Posts 189 Reaction score 33 Jun 20, 2016 #27 Selikali inatafuta Kiki kwa students
Kcaldozo Member Joined Apr 15, 2015 Posts 26 Reaction score 7 Jun 20, 2016 #28 labda kwel wanatafuta kiki maana duuhh!!!
N NAKWEDE JF-Expert Member Joined Aug 1, 2007 Posts 27,972 Reaction score 35,194 Jun 20, 2016 #29 Heading unaulizia post za form five lakini maelezo yako unaulizia post za form four!
Kwani JF-Expert Member Joined Jan 12, 2016 Posts 455 Reaction score 562 Jun 20, 2016 #30 Modes wajinga wanabadili heading!
KUNDULE JF-Expert Member Joined Jan 15, 2015 Posts 318 Reaction score 177 Jun 20, 2016 #31 tafuteni kazi za tempo vijana acheni uvivu
Talented Land Senior Member Joined Feb 4, 2016 Posts 157 Reaction score 135 Jun 20, 2016 #32 KUNDULE said: tafuteni kazi za tempo vijana acheni uvivu Click to expand... watoto chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kufanya kazi iwe ya tempo au perma hivyo tunahitaji post tamisemi post lini? au hadi sisi 30 June?
KUNDULE said: tafuteni kazi za tempo vijana acheni uvivu Click to expand... watoto chini ya miaka 18 hawaruhusiwi kufanya kazi iwe ya tempo au perma hivyo tunahitaji post tamisemi post lini? au hadi sisi 30 June?
Andrew Sosipeter Senior Member Joined May 29, 2016 Posts 189 Reaction score 33 Jun 20, 2016 #33 Please wait selection is loading........................................... Network is not available try again later.................... Requesting fail so don't worry selection is coming soon tuendelee kusubili
Please wait selection is loading........................................... Network is not available try again later.................... Requesting fail so don't worry selection is coming soon tuendelee kusubili