Kama mwili unakugomea kufanya mapenz c uachane nayo ufanye mambo mengine kwani lazima mfanye mapenz?? Mbona mnataka kujitafutia matatzo mwishowe mfie kwenye vifua vya watu. Mi nilijaribu sana kwenye madawa na nilishawahi nunua dawa mpaka 150k ila sikuona mabadiliko yoyote nikaona usenge huu nikaamua kuachachana na mapenz saiv nafanya kilimo tu😄