Swali Kwa watumishi wapya

King18

New Member
Joined
Jul 21, 2026
Posts
2
Reaction score
0
Habari nilikuwa nauliza Kwa wale watumishi wapya hasa utumishi wa umma chuo Cha mwalimu Nyerere walioambiwa watapigiwa simu ... Vipi washapigiwa simu maan ni week ya pili Sasa kimya ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…