K King18 New Member Joined Jul 21, 2026 Posts 2 Reaction score 0 Jul 24, 2026 #1 Habari nilikuwa nauliza Kwa wale watumishi wapya hasa utumishi wa umma chuo Cha mwalimu Nyerere walioambiwa watapigiwa simu ... Vipi washapigiwa simu maan ni week ya pili Sasa kimya ?
Habari nilikuwa nauliza Kwa wale watumishi wapya hasa utumishi wa umma chuo Cha mwalimu Nyerere walioambiwa watapigiwa simu ... Vipi washapigiwa simu maan ni week ya pili Sasa kimya ?
Official planner Senior Member Joined Feb 20, 2023 Posts 123 Reaction score 208 Jul 28, 2026 #2 Kuwa na subira utapigiwa tu simu