Za leo wa ndugu,
Naomba niulize, na hili swali ni kwa wanaume hasa, au kama na wanawake wenzangu mnaweza kufahamu nitashukulu michango yenu pia.
Hivi! ni kweli kweli kweli kabisa katika haya maisha ya sasa bila kumpa mumeo/boyfriend/hawala TIGO uhusiano unakuwa hafifu?
Maana kila kona ni TIGO TIGO TIGO! Naona mpaka mwenzangu kaanza hizo dalili za kutaka pia. Kwa kweli nakosa jibu. Nisaidieni tafadhari.