habari,mimi ni mwanafunzi niliyemaliza kidato cha sita mwaka huu 2018 na kupata division two points 10 mchepuo EGM...naomba ushauri kozi gan ni nzuri na ina wigo mpana wa ajira tanzania kwa sasa ili nkasome.Asanteni
alama zangu;
economics-E
geography-C
mathematics-B