swali kwa mabinamu na wapwa


XPin hahahaha we umeambiwa ukishampatia mtoto mkataba umeisha kumbe unataka nini tenas ??
 
sasa kwa kinibu vipi?

dah, tutachekki mazee itakuaje. Wapwa ndio hivyo inatakiwa mnipe mazawadi na mazagazaga then tunayakonveti mida tunazama kwa kinibu!!
 
FL1 mwenzio huyu mpenzi nakosa hata la kusema.Ngoja niishie hapa,nisije mpeperusha bure.Ila nahisi natakiwa nimuone Nyamayao kwa ushauri zaidi.

hahaha yaaani huyu wa kwako hawezekaniki kabisa weye ndo umemzoe

mmmh pole
 
hahaha yaaani huyu wa kwako hawezekaniki kabisa weye ndo umemzoe

mmmh pole

Unataka kuvunja ndoa za watu weye. Haya turudi kwenye mada. We ungekuwa hujaolewa, afu dalili ya midume kukufukuzia hamna. Afu mambo flani unataka kabinti na fweza si matata. Kweli utaacha kutafuta kaserengeti boy ka1 kakupandishe mstima ulete kabinti duniani? Acha kuzuga, sema ukweli.
 

akitaka kabinti huyo ningependa anione mimi!I WAS BORN FOR THAT!isitoshe my daughter GIFT anahitaji mdogo-wake
 
akitaka kabinti huyo ningependa anione mimi!I WAS BORN FOR THAT!isitoshe my daughter GIFT anahitaji mdogo-wake

Hahaha! Sisi ni wataalam wa kuleta warembo duniani. Tumebarikiwa kwa hilo bwashee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…