Kila chuo kina utaratibu wake, na ukisoma guidelines zao wanasema kabisa either unachagua course 3-5 na gharama ni moja tu. Malipo kila chuo kina gharama zake, kwa sasa bado gharama mpya za TCU hazijaanza kutumika
Kila chuo kina utaratibu wake, na ukisoma guidelines zao wanasema kabisa either unachagua course 3-5 na gharama ni moja tu. Malipo kila chuo kina gharama zake, kwa sasa bado gharama mpya za TCU hazijaanza kutumika
unalipa kumi elfu au? harafu ninaswali kuhusu mzumbeee.... hawa jamaa system yao ya usaili ipo moja je kama nataka kuapply center yao ya mbeya kwa mfano inakuweje...... nataka kuapply mbeya and main course mbili tofauti ndo kiini cha swali languu
Kila chuo kina utaratibu wake, na ukisoma guidelines zao wanasema kabisa either unachagua course 3-5 na gharama ni moja tu. Malipo kila chuo kina gharama zake, kwa sasa bado gharama mpya za TCU hazijaanza kutumika
unalipa kumi elfu au? harafu ninaswali kuhusu mzumbeee.... hawa jamaa system yao ya usaili ipo moja je kama nataka kuapply center yao ya mbeya kwa mfano inakuweje...... nataka kuapply mbeya and main course mbili tofauti ndo kiini cha swali languu