britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
- Thread starter
- #21
Hahahahahaha
Hahahahahaha
Naanza kwa kusema upinzani wa ulimwengu wa Tatu unakuwa na maana gani?
Tuliaminishwa hostel za UDSM hazitamaliza hata mwaka zitakuwa zimeporomoka, lakin nashangaa unaenda mwaka wa tatu sasa na hakuna dalili zozote za kuharibika kwa majengo yale,
Nikakumbuka suala la Ndege za Bombadier kwamba moja imekufa injini na haitafanya kazi kamwe,
Nikakumbuka daraja la kigamboni kwamba litaua watu muda si mrefu,
Sasa nauliza hivi ni kwamba upinzani unakuwa unakosa ya kumkosoa Magufuli mpaka walete ya uongo?
Kwa kipindi hiki cha Magufuli mbona ya kumkosoa ni mengi tena kwa hoja thabiti bila kuudanganya Umma?
Nadhani upinzani tujitafakari
I see ! Kwani ni lazima ukapige picha pale hostel ! Ungependelea watanzania milion 50 wawe chini ya wajanja wangapi ? Very shallow minded !Menda pale upige picha kama wewe ni mwanaume wa kisukuma...hostel zetu bado hata kupiga ka picha mnatuzuia....hivi watz zaidi ya mil 50 tuko chini ya mshamba mmoja!!?
Upinzani umekuwa km mwanamke jirani mwenye wivu, mume akileta friji home anachungulia anasema aaah hilo halikai wiki limekufa, akileta subwoofer anachungulia anasema aaah hilo mwezi tu limeunguaaNaanza kwa kusema upinzani wa ulimwengu wa Tatu unakuwa na maana gani?
Tuliaminishwa hostel za UDSM hazitamaliza hata mwaka zitakuwa zimeporomoka, lakin nashangaa unaenda mwaka wa tatu sasa na hakuna dalili zozote za kuharibika kwa majengo yale,
Nikakumbuka suala la Ndege za Bombadier kwamba moja imekufa injini na haitafanya kazi kamwe,
Nikakumbuka daraja la kigamboni kwamba litaua watu muda si mrefu,
Sasa nauliza hivi ni kwamba upinzani unakuwa unakosa ya kumkosoa Magufuli mpaka walete ya uongo?
Kwa kipindi hiki cha Magufuli mbona ya kumkosoa ni mengi tena kwa hoja thabiti bila kuudanganya Umma?
Nadhani upinzani tujitafakari
Hahahahahaha
HahaHostel za expansion joint.