Naamini hizo zitakuwa poa sana, maana nina Mitsubishi Pajero Mini, cc660, 4WD, 5Manual transmission, ina turbo, inaweza kwenda safari yoyote ile kwa Tanzania maana ina nguvu sana, mf Dar-Bukoba, kwenye mafuta ni very economical hadi raha, suala la mafuta wala haileti hata homa, spea zake zinapatikana sana japo ni ghari mno ila ni genuine na si za kugushi kama zilivyo zilizo nyingi za Toyota. Jimmy na Pajero mini mimi binafsi nazikubali sana.