Nyie ndo mlioacha kutumia kichwa kufikiri na mkaanza kufikiri kwa kutumia triple "WO",hivi ww mwenyewe kujiassess kwa ulichokifanya,huoni aibu kuweka tangazo kibudu? kulikuwa na haja gani ya kukurupuka kama huna full info za kushibisha tangazo lako? kama umeona JF ni mahala sahihi pa kuweka tangazo lako iweje huweki full info za biashara zako.Anyway,nia yangu ilikuwa ni njema tu kwa ww mtanzania mwenzangu unayependa kufanya biashara,nikuambie tu kwa upendo marketing haipo hivyo mzee,jifunze kwa wenzako wanafanikiwaje.OVER