Sura mbili za wanawake

Tatizo wanaume hamsomi alama za nyakati, kuna time zinafika inabidi concentration iwe kwako na mkeo na watoto, nyie msiposhtuliwa mnataka kuendelea kuishi km wasiooa i.e kumsaidia yeyote ni rahisi. Kuna time inafika ukishaoa inabidi upige jicho la miaka mitano ijayo la familia yako, hamuwazagi hivyo hadi wake zenu wakasirike na wawakasirikie nduguzo wanaoomba mara kwa mara. Shtukeni mapema
 
hapa swala co wanawake tu hata wanaume pia kwani tabia ya mtu halisia haibadiliki hata kidogo kwa hiyo mnapoamua kufunga ndoa inaam mmeridhiana kwa tabia ya kilamoja hbri ndo hiyo
 
Huyo ni wakwako, jaribu lako lishinde mwenyewe usitujumlishe wote et kisa wewe uliyemuoa kabadilika
mm sija oa ila nimesha yaona mwanamke akiingia kwenye ndoa anakuwa kiburi
 
Ww unaangaliaga uhalisia na tabia za nje kisha kukurupukia ndoa lazima ukomeshwe.
 
"Ishini na wake zenu kwa akili" Biblia imeandika.
 
Wakati mwingine wanaume mnachangia sana wake zenu kubadika. Maana mwanamke atajitahidi sana kuwa karubu na ndg zako na wewe pia. Ila nyinyi upande wa mkeo hujali kabisa, tena wengine mnakuwa na maneno makali kuwa aliolewa na ndugu zake? Kwa hali hii mwanamke kwa nini hasibadilike?. Kila upande una haki ya kuhudumiwa.
 
Kitu kikubwa ni heshima kwa ndugu wa pande zote mbili. Mkiendelea kuishi pamoja mkeo atawazoea nduguzo na atawapenda automatic. Don't force her too much. Jiulize na ww unawapenda ndugu zake.
 
hii taasisi imevamiwa
mbadala
kuwe na tuition ya jando na unyago
halafu
wapewe mitihani
kwa vitendo na ka dhalika
pia wapewe maksi na vyeti.
 
Mleta mafa uko sahihi. Mwanamke kabla hamjafunga ndoa anakuwa WIFE mkifunga ndoa anakuwa KNIFE
 
Tabia ni kama ngozi huwezi ificha.
Anaweza onesha tabia yake ila sababu ya mapenzi ya unazi basi we utaona yuko sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…