Tatizo wanaume hamsomi alama za nyakati, kuna time zinafika inabidi concentration iwe kwako na mkeo na watoto, nyie msiposhtuliwa mnataka kuendelea kuishi km wasiooa i.e kumsaidia yeyote ni rahisi. Kuna time inafika ukishaoa inabidi upige jicho la miaka mitano ijayo la familia yako, hamuwazagi hivyo hadi wake zenu wakasirike na wawakasirikie nduguzo wanaoomba mara kwa mara. Shtukeni mapema