cruz vuitton
Member
- Sep 23, 2016
- 42
- 12
Nfa(nationa food authority) na SQF(south africa quality food) wame zikaguaVIPI TBS NA TFDA WAMEHAKIKI??
Hao ni wa south Afrika...vipi TFDA na TBS hapa kwetu???Nfa(nationa food authority) na SQF(south africa quality food) wame zikagua
Za kunenepa zipoUkitaka kuongeza mafuta je?!
Sio magendoMagendo
BeiZa kunenepa zipo
1kg 75,000
1kg 75,000
2.5kg 125,000
Za kuongeza mwili ni ungaVidonge kilo 1 c unakunywa mwaka mzima
Tfda zilipita ila hawajanipa kibali rasmi kwakua ni gharamaZimepita TFDA? na TBS?
naona unaitamani segereaUmefanya mazoezi sana na umeshindwa kupata mwili unaotaka?
Sasa suluhisho limepatikana,sasa utapata supplements zitakazo weza kukusaidia kufika matarajio yako.
Zakujaza muscles pamoja na kukata mafuta kama unataka kupunguza mafuta na uzito wa mwili,kwa kutumia hizi supplements kila kitu kina wezekana
Zimetengenezwa kwa vyakula vilivyo changanuliwa kiwandani na vitakavyo muwezesha mtumiaji kufikia malengo yake.
Kwa mawasiliano zaidi 0672669309
[HASHTAG]#supplementssa[/HASHTAG] [HASHTAG]#leanmuscle[/HASHTAG]
[HASHTAG]#bodybuilding[/HASHTAG] [HASHTAG]#purewhey[/HASHTAG] [HASHTAG]#creatinesuprime[/HASHTAG] [HASHTAG]#massgainer[/HASHTAG]
[HASHTAG]#gymnastics[/HASHTAG] [HASHTAG]#supplements[/HASHTAG]
Hahaha...naona unaitamani segerea
mkuu njia pekee ya kuongeza au kupunguza mwili ni mazoez pamoja na vyakula(virutubisho asilia kama ulivosema)...haya madawa ya makopo unaeza kufa kimasikhara masikhara tuu....mtu anakuambia utapunguza kilo 20 kwa mwezi.....hata Moyo unaushtukiza kwa kushuka uzito ghafla....Kupunguza mwili au kuongeza kunafanywa na vyakula tuu, hayo makemikali ni sumu tupu na wizi wa pesa za watu, mtu pangilia mlo wako na fanya mazoezi utapata tuu mwili na uzito sahihi kwa urefu wako, achana na kemikali hizo, oooo mara from USA, mara South Africa, mbwembwe tuu
Amna hio sio njia pekee kwa sababu zikagundulika hizi supplementsmkuu njia pekee ya kuongeza au kupunguza mwili ni mazoez pamoja na vyakula(virutubisho asilia kama ulivosema)...haya madawa ya makopo unaeza kufa kimasikhara masikhara tuu....mtu anakuambia utapunguza kilo 20 kwa mwezi.....hata Moyo unaushtukiza kwa kushuka uzito ghafla....
we si mfanyabiashara....si kukatalii kwamba kuna watu wanatumia hizo....ila kiafya c nzuri...kwa sababu hizo zinaenda kuleta effect kwenye homoni husika....na wateja wengi wa hizo kitu ni kina mama(tunaziona picha zao za before and after)...na hii ni kutokana hawapend mazoez machipsi wanayapenda....umodo wanaupendaAmna hio sio njia pekee kwa sababu zikagundulika hizi supplements