Supplementary UDOM

Crystal field theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
951
Reaction score
412
Habari zenu wakuu!

Kwa ambao wanasoma UDOM

Wwamesema kwenye web kuwa supp ni kwa mwaka wa kwanza pekee yao, sisi mwaka wa pili tunafanya lini na inahusisha ngazi ya certificate adi masters?

Msaada wadau.
 
Kasapue Mkuu.

Nilizoeleka pale udsm coz kila semester nilikuwa naingiza moja.

Mwisho wa siku nikavaa joho mlimani city ukumbi alimoagwa jk na wasanii.

Wasapuaji nawatakia mkutano mwema!
 
Habari zenu wakuu!

Kwa ambao wanasoma UDOM

Wwamesema kwenye web kuwa supp ni kwa mwaka wa kwanza pekee yao, sisi mwaka wa pili tunafanya lini na inahusisha ngazi ya certificate adi masters?

Msaada wadau.

umesoma una uhakika? Au umesimuliwa??
Matokeo yametoka jana ya 3rd year tu, na sup wamesem ni 24-28/08/2015. So wengine subirien had yatoke matokeo yenu na mtaend kusapua sept. Mbona una haraka? Kama umeliona tangazo hilo weka hapa uprove
 
Bado mzee kapinga anakamata watu wa History? Kwa wale wa ng'ong'ona ME na FE bdo ni mabingwa wa kuwapa watu sup?
 
Hvi mtu unasoma udom then unasupp,what if ungesoma ud au Sua,c ungeshadisco kwa zile presha tu?
 
Mnashinda jf MMU na Siasa kwanini msisapue😀😛 wakiweza wawadiscoishe kabisa hamsomi mnamb*mb*la tu kwenye sosho media,prof,Dr. Kamata hao
 
Una akilinyingi kijana mpaka umechukua za mamaako na mashogawa sinza sana
 
Bado mzee kapinga anakamata watu wa History? Kwa wale wa ng'ong'ona ME na FE bdo ni mabingwa wa kuwapa watu sup?

Dr. Kashika wengi kwenye philosophy n methodology of history.
 
Habari zenu wakuu!

Kwa ambao wanasoma UDOM

Wwamesema kwenye web kuwa supp ni kwa mwaka wa kwanza pekee yao, sisi mwaka wa pili tunafanya lini na inahusisha ngazi ya certificate adi masters?

Msaada wadau.

Sup kwa mwaka wa pili na watatu continous huwa wiki 1 kabla ya kufungua chuo.
 
Ila tu mkumbuke kwamba supplementary nayo ni somo tu kama masomo mengine. Mulugo dah!
 
Habari zenu wakuu!

Kwa ambao wanasoma UDOM

Wwamesema kwenye web kuwa supp ni kwa mwaka wa kwanza pekee yao, sisi mwaka wa pili tunafanya lini na inahusisha ngazi ya certificate adi masters?

Msaada wadau.

Supplementary ni somo kama masomo mengine, hivyo wanafunzi hampaswi kulichukia-waziri wa Elimu Mulugo!
 
Hvi mtu unasoma udom then unasupp,what if ungesoma ud au Sua,c ungeshadisco kwa zile presha tu?

Kati ya wanafunzi weupe vichwani ni wanaotoka vyuo ulivyoviiandika hapo, njoo field ujiinee wanavyozalilika kwa kutokufahamu hata kujiekeza tuu.
 
Hvi mtu unasoma udom then unasupp,what if ungesoma ud au Sua,c ungeshadisco kwa zile presha tu?
Karibu tule kichwa inaonekana hujui unachozungumza UDOM unadhani ni mteremko uliza uambiwe usipime kina cha Maji kwa mguu! Dharau za namna Hii SI nzuri, zungumza ukiwa na ushahidi wa hayo, mchujo UDOM kama kawaida , utafaulu kwa juhudi zako, Haya ndio yanayofanya vijana wanakuja UDOM na NO KUFELI SLOGAN , mwisho wa siku wanaishia kulia hovyo . Msodanganyike UDOM Shule kama kawaida jiandaeni mapema muweze kufikia malengo yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…