umesoma una uhakika? Au umesimuliwa??
Matokeo yametoka jana ya 3rd year tu, na sup wamesem ni 24-28/08/2015. So wengine subirien had yatoke matokeo yenu na mtaend kusapua sept. Mbona una haraka? Kama umeliona tangazo hilo weka hapa uprove
Karibu tule kichwa inaonekana hujui unachozungumza UDOM unadhani ni mteremko uliza uambiwe usipime kina cha Maji kwa mguu! Dharau za namna Hii SI nzuri, zungumza ukiwa na ushahidi wa hayo, mchujo UDOM kama kawaida , utafaulu kwa juhudi zako, Haya ndio yanayofanya vijana wanakuja UDOM na NO KUFELI SLOGAN , mwisho wa siku wanaishia kulia hovyo . Msodanganyike UDOM Shule kama kawaida jiandaeni mapema muweze kufikia malengo yenu.