Jamani nauliza mwenye kujua tarehe ya supp na special za chuo cha mtakatifu augustine zinaanza tarehe ngapi, maana matokeo tayari yyametoka nataka kujua kwa yule mwenye ufahamu.:help:
wewe akili zako za kitoto unafikiri ungesoma saut ungepata first class? na chuo ulichosomea average40%, ungeenda saut ambapo average50% pangekusumbua sana ,ndugu balozi wa nyumba kumi manake mawazo yako na id yako ya seneta haviendani wewe ni balozi wa nyumba kumi na sio seneta
wewe na kidiploma chako usiwe unatuandikia ujinga kama huu hapa jf. Io saut unayoidharau wewe average yake ni 50% we ungeweza kwa akili yako ndogo io?? Kama watu wanasoma udsm au ifm kwenye 40 na wanadisco je wangekuja saut?? Acha kufikiria kwa kiasi kidogo kiasi icho!