Sumaye amekuwa 'Betri' ya Lowassa...


Labda ungetueleza pia kwa nini Mkapa alituwekea mtu bogus kwa miaka kumi kama mtendaji mkuu wa serikali. Alikuwa na nia gani kwa Taifa letu.

Kama waliweza kutuwekea bogus kwa miaka yote hiyo ni kwa nini tuwaamini leo kwa chaguo lao Magufuli, chaguo la kitengo!?
 
Mkuu swala la Mapa na wanaMtandao ni kitendawili ambacho hakijateguliwa bado.
Tunajua fika kuwa JK na EL walikuwa waasisi wa huo mtandao kwa kula yamini ya kuitawala Tanzania hadi wachoke wenyewe!
Sasa kitendawili kilichotokea hapo katikati bado hakijateguliwa.
Mkapa , Yes, atalaumiwa kwa kuwa taken in na wanamtandao.
Athari za wanaMtandao sina haja ya kueleza zaidi maana matokeo yake na athari zake tumeziona.
 
Mkuu propaganda CCM hatuko , maana hizo I maneno matupu.
Siye tunamwaga nondo za uhakika.
Sasamwambieni mzee Zero akae chini kwanza na afikirie cha kuongea chenye manufaa kwa mkulima na mfanyakazi.
Hatujasahau Sumaye kaingia fasta UKAWA baada ya Lowassa kuongea u.tumbo wa kusema atawaachia kina Babu Seya, ati ndo sera!!!

Sumaye hayuko tofauti, upinzani si kumwaibisha Magufuli, upinzani ni kuleta sera mbadala za kutawala na kumletea mwananchi maendeleo.
Sasa kama kote kwa Sumaye wala Lowasa hakuna sera mbadala mnategemea nini?
 
Umeandika rubish, rubish.... Nineona tu Mzee Mwanakijiji kalike
Ando shifa yenu wana Ukawa, bendera fuata upepo.
Penye watu wenye akili hampo kabisa.
Hebu usema sasa mlikuwa mnasema mmeanza na Mungu, kumbe mmekumbatia Ibilisi.
Kwenye ufisadi na mafisadi Ibilisi ndo kwake.
 
Endelea kutukana na kujifariji tu hapa, wenzenu UKAWA wanasonga mbele kwa kasi ya ajabu, muda si mrefu utawakuta ikulu, Lowassa anateka majiji, miji na vijiji kila anapofika.

Mkuu wanasonga wapi? Hivi kweli wote ni kipofu au mmejifungia nyumba na mtaa mmoja mnafarijiana wenyewe?
Nawaambia Ukawa mmepoteza mvuto kabisa na mtashukuru mkipata hata 20%.
 

Mkuu Sumaye ni opportunist na tena zero kweli! Yaani alidhani Lowassa ataanguka ndani ya wiki na ye achukue nafasi yake. Na mpaka sasa hivi hana chama. Lakini anataka kutuaminisha eti anafaa. Haeleweki na hajielewi!
 
Mkuu Sumaye ni opportunist na tena zero kweli! Yaani alidhani Lowassa ataanguka ndani ya wiki na ye achukue nafasi yake. Na mpaka sasa hivi hana chama. Lakini anataka kutuaminisha eti anafaa. Haeleweki na hajielewi!
Yule jamaa kweli ni betri!!!!
Hii ya kutokuwa na chama sasa anakuwa kama moiga ramli wa UKAWA.
 
Katika muda mchache ambao Magufuli amekuwa mtendaji, ameonyesha kutozembea viongozi wabovu chini yake na ni mfuatiliaji.
Lets give him a chance.

Hapana..ni tofauti na kuwa mkuu wa nchi....Magufuli anafaa kuishia hapo alipo au kidogo uwaziri mkuu..not otherwise...hata wazee wa chama wanaojitambua wanalijua hilo...lakini sababu amepata zari kwenye vita vya mwewe,basi hakuna jinsi....lakini hakuna unafuu wowote..
 
Uwe unajisafisha ukitoka chooñi....!!!!

Hata sijui ni kipi kimekuudhi mpaka ukaamua kutumia maneno ya kuudhi hapo, kama uwezo wako ndio huo na umeenda shule basi nawapa pole wazazi wako maana hiyo hela ya kukusomesha heri wangenunulia kondomu mimba yako isitunge.
Ukijua una shule ndogo na ubongo wako ni MB kadhaa hata GB haujafika usiwe unacomment hapa.
 


Sumaye ni askari wa kukodiwa. Akimaliza kazi yake atarudi CCM kwa kuwa mpaka sasa hajatangaza amejiunga na chama gani cha upinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…