Sumatra, sumatra wametoa nafasi


well said.sisi waajiri hatuna uhitaji na vyeti vyako bali performance.kuna nafasi zinahitaji kufanya strategic decisions,kama huna uzoefu hatuwezi kukupa nafasi kama hiyo hata ungekuwa na vyeti vya PhD
 
:help:Naombeni msaada kwani wanamaanisha nini kipengele cha''TESTIMONIALS NAMES'' neno ilo maana yake wanataka nini na je kwani lazima.
naomba msaada wenu wanaJF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…